Iran: "We can hit 35 US bases in minutes'!!!

Kitu cha ajabu, irani wanatoa elimu nzuri sana; hasa ile ya kati. Sasa vijana wa kiirani wakishakamilika katika elimu ya kati wanakwenda kuchukua elimu ya juu marekani na kubaki huko wakisaidia kukuza teknolojia ya marekani. Tunao wairani kadhaa kazini kwetu, na kweli jamaa wanajua sana basic science. Iwapo Irani ingewavutia raia wake wote walioko Marekani, Kanada, UK, Australia na sehemu nyingine za ulaya ya magharibi, na kuwapa mazingira mazuri ya kufanyia kazi, ingekuwa ni nchi tishiso sana. Lakini jamaa hawataki kurudi kwao kwa sababu wanadai hawataruhusiwa mambo mengi sana mabayo wameyazowea marekani hata kama wakipewa mshahara wa namna gani, kwa mfano, hawataweza kukata kinywaji baada ya kazi na mambo menineyo ya kiwestern.
 
Hao Wairan hawana tofauti na Ghaddafi au Idd Amin, ni kama Mbwa Koko; kelele nyingi lakini hang'ati.
Mara "tutaifuta Israeli kwenye uso wa dunia, mara hii wamekuja na hiyo ya kuvipiga vituo 35 vya kijeshi vya US ndani ya dunia!
Milosovic na Ghaddafi walikuwa na kelele hivyo hivyo, siku vita vilipoanza haikuchukua hata mwaka, leo wako wapi?

Kama mawazo yako ni sahihi basi ina maana hata, Mkwawa, Kinjegitile na wapigania uhuru wengi walionyongwa pale Baganoyo na kwingineko walifanya makosa kutetea walichokuwa wanatetea.

Binafsi sishangai kilichompata Saddam na Gadaffi ila nigeshangaa sana kama wasingeonesha upinzani wowote.
 
A cat is never scared of a mouse. Iranians are still amateurs in warfare, they are like mice when compared to US strike power and capabilities, they should better keep their mouth shut or else be embarrassed like Sadam

So did the US win the war? Was Sadam embarrasssed? A bit of nuance would have made you sound clever!
 
alikuwa anaitwa Mohamed Al Sahaf!.....'they are nowhere in Baghdad...' huku nyuma yake vifaru vya Amerika vinajivinjari mjini. Nadhani hawa watu hawajazoea utulivu, wamezoea vurugu na ndo maana dunia ya kiarabu imegubikwa na fujo!

Mkuu umenikumbusha COMICAL ALI! Sonic Boom za F-18 anasema hizo ni radi tu Wamerika hawana ubavu wa kurusha ndege zao Bagdad! Nasikia siku hizi ni mtangazaji wa Al-Jazeera, ana bahati sana mimi nilifikili Wamerika wangenfugulia mashtaka ya WAR CRIMES lakini walimwacha TU.
 
middle eaterners na majiran zake-ukimtoa Israel-ni wengi wa maneno-huyu Iran leo hii anajigamba wakat usa wamekuwa wakipigana na adui wa Iran-yye kwa juu yao then anataka kumgeukia usa-soon aliyokuwa anayasikia kwa wenzake yatampata
 
Mkuu umenikumbusha COMICAL ALI! Sonic Boom za F-18 anasema hizo ni radi tu Wamerika hawana ubavu wa kurusha ndege zao Bagdad! Nasikia siku hizi ni mtangazaji wa Al-Jazeera, ana bahati sana mimi nilifikili Wamerika wangenfugulia mashtaka ya WAR CRIMES lakini walimwacha TU.

Mmh? Al-Jazeera? Mbona huyo Ali Hassan al - Majid (Chemical Ali) alishaoza chini ya ardhi muda kitambo mkuu! Alinyongwa mwanzoni mwa 2010 kwa case ya maangamizo ya Wa-Kurdi.
 
sadam alianza hivi hivi akawapa mpaka anachora mistari ya kuwatishia eti mkivuka hapa mtakiona..mwisho wa siku akanyongwa...gadafi naye hivi hivi mwisho wa siku akazikwa kama kibudu..na hawa nao wameanza tena.....

Nashangaa kwa nini mnaisifia sana US. Kama sio kuomba msaada US si kitu. Mji wa Basra ulikuwa mfuniko, mpaka US ikasaidiwa na UK. Farujah ndo usiseme. Libya nako hivo hivo.
Vita vya Irani, haitakuwa pekee Warusi na Wachina will help us. We gonna attack US bases along the pacific and annihilate US within a minute. Watch!
 
Fikra zako ni za kitumwa. Fikra za kushabikia vita, sijui utapata faida gani Iran ikipigwa. Marekani ni muonezi, anaionea Iran kwa vikwazo, mauaji ya wanasayansi wake, kufadhili magaidi wanaishambulia Iran na vitisho vya vita. Sasa mtu anayesema yuko tayari kujitetea anakosa gani kiasi kwamba wewe uone kuwa wao ni wavuta bangi. Hivi wewe ungekuwa ni kiongozi wa Iran ungefanya nini tofauti na kutafuta mbinu za kujilinda? Ungeamua kuagiza watu wako wawe mashoga ili wapone vita au ungepambambana ili kutetea maadili ya nchi yako.
 
Bangi za jangwani mbaya sana! Huyo mjeda mbona hajatuambia maadui zao wana uwezo wa ku-strike target ngapi ndani ya iran 'in seconds?' Au anajidanganya kuwa iran imekuwa mbabe wa kivita duniani? Tena wangeifunga haraka ile Strait ya Hormuz ili wakoleze mambo.

Fikra zako ni za kitumwa. Fikra za kushabikia vita, sijui utapata faida gani Iran ikipigwa. Marekani ni muonezi, anaionea Iran kwa vikwazo, mauaji ya wanasayansi wake, kufadhili magaidi wanaishambulia Iran na vitisho vya vita. Sasa mtu anayesema yuko tayari kujitetea anakosa gani kiasi kwamba wewe uone kuwa wao ni wavuta bangi. Hivi wewe ungekuwa ni kiongozi wa Iran ungefanya nini tofauti na kutafuta mbinu za kujilinda? Ungeamua kuagiza watu wako wawe mashoga ili wapone vita au ungepambambana ili kutetea maadili ya nchi yako.
 
Sasa hao wa-Iran si walianzishe basi sisi tuone mambo Mr. 0101010101

I dont say IRAN will win the war....no no but the impact of the war will be sijui ata niandikeje...but try to follow American war planners even Israel wenyewe kwa wenyewe wamekua wakitofautiana mpaka baadhi wamesema " Attacking IRAN is stupidest thing ever heard'' So lazima tujue kuna ugumu uliopo mpaka wamejaribu kuolodhesha kua IRAN has 20 submarines with ability of firing torpedo and missiles...IRAN has suicide boats or fast attacking boats which are mounted with different missiles capable of sinking large warships or aircraft carriers and it said these fast attacking or suicide boats zipo zaidi ya 1000 na target yao ni 3000...IRAN has thousand of ballistic missile zenye uwezo wa kuangamiza US bases middle east,Turkey mpaka Germany and ISRAEL...IRAN has weapon of mass destruction i mean biological and chemical weapon madhara yake ni makubwa...IRAN has so many industries which are producing weapon day n night so sio kwamba wataishiwa silaha kirahisi...IRAN now producing fighterjet, warship that means they can fight beyond borders...So hiyo vita likely ikagusa interest za mataifa mengi kwani akivamiwa ataripua oil rig za IRAK,SAUD,QATAR,UAE,BAHARAIN and mind you those are owned by multnational company so likely www3 ikatokea....Thats why baadhi wanaona the only way to weaken the IRAN regime is through sanction and supporting internal conflict same as LIBYA and now SYRIA then UN will be used to invade IRAN under the pretext of protecting civilians that so....
 
Kitu cha ajabu, irani wanatoa elimu nzuri sana; hasa ile ya kati. Sasa vijana wa kiirani wakishakamilika katika elimu ya kati wanakwenda kuchukua elimu ya juu marekani na kubaki huko wakisaidia kukuza teknolojia ya marekani. Tunao wairani kadhaa kazini kwetu, na kweli jamaa wanajua sana basic science. Iwapo Irani ingewavutia raia wake wote walioko Marekani, Kanada, UK, Australia na sehemu nyingine za ulaya ya magharibi, na kuwapa mazingira mazuri ya kufanyia kazi, ingekuwa ni nchi tishiso sana. Lakini jamaa hawataki kurudi kwao kwa sababu wanadai hawataruhusiwa mambo mengi sana mabayo wameyazowea marekani hata kama wakipewa mshahara wa namna gani, kwa mfano, hawataweza kukata kinywaji baada ya kazi na mambo menineyo ya kiwestern.

universities za Europe, wengi wa professors ni wairani.miaka 7 ya nyuma kuna jamaa university moja kule Sweden alikamatwa baada ya kuagiza chuoni kifaa fulani cha mitambo ya nuclear kutoka marekani na baadaye alikituma kifaa hicho huko kwao Iran
 
Mmh? Al-Jazeera? Mbona huyo Ali Hassan al - Majid (Chemical Ali) alishaoza chini ya ardhi muda kitambo mkuu! Alinyongwa mwanzoni mwa 2010 kwa case ya maangamizo ya Wa-Kurdi.

Heshima yako Mkuu, naona kidogo tunazumgumzia watu wawili tofauti wenye jina moja, yaani ALI. Mimi ninae mzungumzia ni huyu aliye pachikwa jina la COMICAL (yaani mtu mchekeshaji) na vyombo vya habari vya nchi za magharibi; kama nakumbuka vizuri nadhani alikuwa ni Waziri wa habari wa Sadaam wakati wa vita vya IRAQ - alikuwa hakubali kwamba vifaru vya Merikani vimekwisha fika kwenye mitaa ya mji wa Bagdaad wala hakubali kwamba ndege za kivita za Merikani zimekwisha tawala hanga lote la IRAQ!!

Nilikuwa naona kwenye luninga wahandishi wa vyombo vya magharibi wakimfuata fuata kupata habari zake za kubuni/kuchekesha, usanii huo aliuweza sana ndio maana alipewa ajila Al-Jazeera baada ya vita kumalizika. Mchekeshaji huyo alikuwa najulikana kama (COMICAL ALI) na sio Chemical ALI; naona Serikali ya Marehemu Sadaam ilikuwa na mawaziri zaidi ya mmoja wenye majina ya ALI. Thanks for the info all the same.
 
Heshima yako Mkuu, naona kidogo tunazumgumzia watu wawili tofauti wenye jina moja, yaani ALI. Mimi ninae mzungumzia ni huyu aliye pachikwa jina la COMICAL (yaani mtu mchekeshaji) na vyombo vya habari vya nchi za magharibi; kama nakumbuka vizuri nadhani alikuwa ni Waziri wa habari wa Sadaam wakati wa vita vya IRAQ - alikuwa hakubali kwamba vifaru vya Merikani vimekwisha fika kwenye mitaa ya mji wa Bagdaad wala hakubali kwamba ndege za kivita za Merikani zimekwisha tawala hanga lote la IRAQ!!

Nilikuwa naona kwenye luninga wahandishi wa vyombo vya magharibi wakimfuata fuata kupata habari zake za kubuni/kuchekesha, usanii huo aliuweza sana ndio maana alipewa ajila Al-Jazeera baada ya vita kumalizika. Mchekeshaji huyo alikuwa najulikana kama (COMICAL ALI) na sio Chemical ALI; naona Serikali ya Marehemu Sadaam ilikuwa na mawaziri zaidi ya mmoja wenye majina ya ALI. Thanks for the info all the same.

Mkuu Bukyanagandi, you 're right! Unazumgumzia huyu Mohammad Saeed al-Sahhf, ambaye alikuwa waziri wa habari wa Saddam (2001-2003). Mkuu Sorry, nilichanganya majina pamoja nicknames za hawa akina Ali. Wakola waitu.
 
Mkuu Bukyanagandi, you 're right! Unazumgumzia huyu Mohammad Saeed al-Sahhf, ambaye alikuwa waziri wa habari wa Saddam (2001-2003). Mkuu Sorry, nilichanganya majina pamoja nicknames za hawa akina Ali. Wakola waitu.

Mkuu ni huyo huyo na sijuhi kwa nini walikuwa wanamuita jina la ALI labda AL-Sahhf walifupisha kuwa ALI; nakwambia maigizo ya COMICAL ALI hata the comedy wa TBC awaoni ndani! Nyegela waitu.
 
Ole wenu ninyi mnaoshabikia vita na kuipa kichwa Iran kumbuka vita vikitokea hamtaenda ninyi bali Iran yenyewe itasimama nanyi mtakuwa watazamaji tu shida zitawapata Wa-Iran maana vita vitapiganwa nyumbani kwao wewe utabaki unaangalia tu na ninaamini kutokana na Historia waarabu hawawezi na hawana ubavu kupigana na nchi za magharibi maana wao hawana umoja hata kama watakuwa na Umoja tumeona mambo yalivyokuwa huko Israel,Lbya na sasa syria hawa watu ni wazuri sana kwa kujitoa MHANGA,KUTEKA NYARA WATU NA MALI ZAO N.K
Wito acheni kushabikia vita Iran bado haijawa na nguvu za kukabiliana na nchi za magharibi hata kama wangekuwa na silaha nzuri mambo ya vita yana wenyewe tuwaachie wenye ujuzi nayo istoshe vita si kigezo cha kumsifia sana Iran tusifie maendeleo yao wanayoyafanya.
 
Back
Top Bottom