Uvunjike haraka sana hatuwataki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mtasema meeengi sana wadanganyika,
issue iliyopo ni kuwa wazanzibar hawautaki muungano, sasa tatizo lipo wapi?
mnaanza propaganda chafu naona! hivi mnaikili kwa gharama gani mtaweza kuulinda huu muungano? na ni kwa gharama
ya nani?
Suluhisho hapa ni kuweka urais wa zamu tu kama mking'ang'ania huu muungano.
It doesn't matter. Everyone (every nation) has the right to express their opinion/preferences regarding the matter.
Let THE PEOPLE OF ZANZIBAR decide their fate - whether one side is sponsored by Iran or USA it's none of your business.
Uko sahihi. Hawa jama siku zote wanataka kueneza islamic influence ndiyo maana uamsho wanatumia masheikh. Hawa jamaa haijui Tanzania kwa masuala ya underground movements. Nchi hii ilishang'oa maharamia wa kila aina karibu kona zote za Afrika kusini mwa jangwa la sahara. Kama ni kweli itabidi tuwasapoti US na Israel lakini tuanze kuwaondoa hawa wa ndani kwa namna yoyote iwezekanavyo ilimradi Tanzania inadumu.
Zipo tuhuma nyingi zinasema Iran ndio wanaosapoti kundi la wana uamsho wa zanzibar kujitenga na Tanzania bara.....kipindi cha nyuma pia minongóno ilishawai tokea kuwa Iran inashirikiana na Tanzania kupitisha uranium toka Congo through Dar port kwenda kutengeneza nuclear Kule iran (wikileaks)....Hivi ukweli ni upi? kama kweli, Tanzania tunampango gani, kuanza kushirikiana na maadui wa Iran haraka iwezekanavyo kama reprisal au tutawaacha hawa wairan watuvuruge na muungano wetu? mwenye news please!
unawaunga mkono magaidi wa dunia hii tunayoishi hao ndio mauwaji wakubwa wa maskini katika dunia hii hivyo vita vyote vya kuanzia iraq, afghan,libya na kila kona ya dunia ni wajuzi na wamarekani ndio wanaocreate hiyo propaganda war baadae wanaenda kuuwa binadamu wenzetu kwa faida yao na taifa lao.....siku ahmedinajad akidunguliwa na israel au marekani, nitaandaa sherehe nyumbani kwangu niiwaalike majirani na watoto wa mitaani.....and that day is coming...too close that is!
wacha wajitenge bhana mi binafsi sioni cha maana ambacho tunawang'ang'ania
Zenji nao wana mambo so wanataka tuwe target ya Israel na USA.
siku ahmedinajad akidunguliwa na israel au marekani, nitaandaa sherehe nyumbani kwangu niiwaalike majirani na watoto wa mitaani.....and that day is coming...too close that is!