TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Nakuunga mkono Mkuu. Hili ni la kweli kabisa. Vita inaidhoofisha sana US kiuchumi sijui kwanini hawalioni hili.
Wanaliona sana hili, mkuu BAK. Kwa sasa Wanajaribu silaha zao kabla ya kumkabili China na Urusi ana kwa ana, kosa wanalolifanya wanasahau kuwa China na Urusi wanawafuatilia kwa karibu kabisa "nyendo zao".