This is so awesome. I can just smell WAR ahead. oa
Pakistan+Iran+Russia+China+North Korea+Venezuela+Algeria+Tunisia = War against Americaoa
Hivi ni nini tofauti kati ya kukiri na kutubu!.
Russia na CHina wana maslahi yao pale Iran, hawako tayari kuona nchi ile inavamiwa kijesshi, ndo sabau hata kwenye vikwazo huwa hawaungi mkono.
si rahisi hivyo-kama ni vita ussr wangeshalipigana na usa kipindi cha coldwar,mana walikuwa wanakabana sana,na sehem nyingi ussr alijitoa had mchina akamwita toothless dragon kwa kuona ussr anamgwaya sana usa, vita ya hawa watu bado ni kitendawili maana hakuna mwenye kujua 100% inventory ya mwenzie ina nini,na usa as kila siku wapo vitani inawakeep kwenye postion nzur kuliko wengineThis is so awesome. I can just smell WAR ahead. oa Pakistan+Iran+Russia+China+North Korea+Venezuela+Algeria+Tunisia = War against Americaoa
Ofcourse, tunasubiri kinachofuatia maana wamesema watafanya kitu...Tunasubiri hiyo response...
hapo ndio nadhani ule mwisho waja...kweli dunia kwaheri.