Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

Hao walikuwa wazalendo hasa.walinua kabisa huyu hataweza kitu na kweli imekuwa hivo.kwa Sasa Kila kitu kimepanda bei zaid ya mara tatu ya ilivyokuwa miaka mitatu nyuma.mfano umeme tulilipia 27000 lakini Kwa Sasa ni 320000,mchele kilo ilikuwa 1500 super lakini Kwa Sasa ni 3300, petroli ilikuwa 1450 lakini Kwa Sasa 3320,tuliahidiw bwawa la JNHEPP likikamilika umeme utashuka bei lakini baada ya huyu mzanzibari amezuia kupunguza.wale wazalendo waliotaka kumzuia inabidi tuwaandalie tuzo maalum.
 
Hana akili yoyote ile si ndio alipinga bandari ya Bagamoyo alafu JPM alipofariki akasema "walipitiwa".

Ni huyu Ndugai ndio alipinga ripoti ya CAG kusomwa bungeni eti kisa kawaita wana uwezo mdogo!! yaani alikasirika kisa CAG ameonesha kuna ufisadi na bunge halikuchukua hatua.
Punguza mahaba mzee

Penye ukweli pasemwe ukweli

Unaona ni sawa rais kusafiri kimya kimya Tena siku ya muhimu kama ile?!

Wekeni Wazi basi mlichoenda kufanya huko?

Halafu unakuja hapa unaandika hoja zako za kiutetezi.....

Punguza ujuaji kidogo kwenye mambo ya msingi!
 
Kuna watu hawajalipwa pesa za mwezi wa 4 mpaka leo tarehe 6.

Mabeyo hii kimeo ulituletea,Mungu ndio anajua.
Kimeo alikuwa jpm. Acha kimsingizia mwokozi wetu. Mi amenipa kazi zilizositishwa for 5 years bila maelezo bali roho mbaya tu
 
Hana akili yoyote ile si ndio alipinga bandari ya Bagamoyo alafu JPM alipofariki akasema "walipitiwa".

Ni huyu Ndugai ndio alipinga ripoti ya CAG kusomwa bungeni eti kisa kawaita wana uwezo mdogo!! yaani alikasirika kisa CAG ameonesha kuna ufisadi na bunge halikuchukua hatua.
Makosa hayo ya kina Ndugai hayahalalishi udhaifu wa mamako huyu
 
Uhuru ni ule ulioletwa 1961 ndo mana unajisikia hivyo. JPM alikuwa analetea heshima hii nchi dhidi ya walafi, wauza unga, wala rushwa, wazembe, wenye vyeti feki, mishahara hewa, wakwepa kodi. Ukiona unamchukia basi ujue wewe ni mmoja katika hayo makundi
 
Mbona alimteua tena 2020? Kama JPM mnamuita genius na ndio kamleta Samia mnayesema ni dhaifu basi JPM hana huo ugenius mnaompamba humu.
Mamayo huyu ni kimeo bhna!

Kina makamba wanajipigia tu nchi huku nae akishinda uarabuni kunadi rasilimali za nchi yetu
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawm a wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Waliomfanya aliopo awepa wao waliangalia katiba ambayo imewahi itwa kijitabu, tusilam au kuwalaum nao walitenda haki kwa njia moja au nyingine ,ni ajali imelipata taifa ila kama isingekua hivi wenda pia nchi ingekuwa kwenye mkwamo wa kikatiba na wenda madhara yangekua makubwa , limeisha tokea swala hapa wenye nchi nikuunganisha nguvu moja basi.

Hata kwenye biashara zipo hasara hutokea

Mungu mwema siku zote hakuna sababu ya kulaumiana ,tusonge mbele ukombozi hu karibu sana asema Bwana
 
Pale kimara palipovunjwa nyumba kwa ajili ya barabara leo hii pameuzwa kiholela panajengwa shell kibao
 
Yahani Watanzania hata hawajui wanataka Nini....?
Yahani ukisoma hizi comments humu ndani yahani unasikitika tu...sijui tumekuaje jamani.
Anyway Mungu atusaidie.
 
Yahani Watanzania hata hawajui wanataka Nini....?
Yahani ukisoma hizi comments humu ndani yahani unasikitika tu...sijui tumekuaje jamani.
Anyway Mungu atusaidie.
Hivi unadhani tulihitwji udikteta wa jiwe?

Au unadhani tunahitaji uzembe na unafiki wa mazeri??

Hapana. Tunataka kiongozi atakayefuata misingi ya kiuongozi na kuwa kiongozi imara.
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Chawa kikongwe Lucas Mwasambwanda na kipara kipya bila akili ni Sawa tako...utasikia huyu mhaini anywongwe
 
Unaona ni sawa rais kusafiri kimya kimya Tena siku ya muhimu kama ile?!
Unaquote hoja ya ndugai unajibu kuhusu Safari? Una akili kweli? Soma nilichoandika hapo je kinaendana na ujinga unaoreply?

No wonder ni mfuasi wa JPM, zero reasoning
 
Makosa hayo ya kina Ndugai hayahalalishi udhaifu wa mamako huyu
Ndio nasema Ndugai naye ni mnafiki tu usimtumie kama reference maana baada ya JPM kufariki alimgeuka na kuanza kumkejeli kuhusu bandari na demokrasia!!
 
Uhuru ni ule ulioletwa 1961 ndo mana unajisikia hivyo. JPM alikuwa analetea heshima hii nchi dhidi ya walafi, wauza unga, wala rushwa, wazembe, wenye vyeti feki, mishahara hewa, wakwepa kodi. Ukiona unamchukia basi ujue wewe ni mmoja katika hayo makundi
Mimi sipo katika hayo makundi ila sijawahi mkubali hata siku moja!!
 
Back
Top Bottom