Ipo siku tutaimba na kucheza nyimbo moja nchi nzima

Endelea kubeza tu na kujifanya hujui kilichotokea kule Arabuni. Kijana aliyejimaliza kwa asira alileteleza majanga makubwa kwa watawala wa karibu eneo lote Arabuni na ndiyo hata ilikuwa ni chanzo cha Gadafi kuuwawa na kuanzia hapo yametokea mapinduzi mengi tu ya kiraia hata huku Afrika.

Hata juzi pale Zimbabwe jeshi lilikuwa linajua kabisa kama Mugabe hapendwi na wananchi sasa lilipoona maslahi yake yameguswa lilichofanya ilikuwa ni kuwaambia wananchi kuwa ingieni barabarani hakuna risasi tena.

Utawala unaweza ukawa wa kimabavu kiasi ili kujicheleweshea muda wa kuendelea kusalia madarakani lakini mabavu yanapozidi kiasi watawaliwa huamua liwalo na liwe na wakiweza tu kusalia mabarabarani kwa siku kadhaa hapo ndio wale wanafiki/wazungu huwa wanakuwa wamepata kisingizio cha kuwabana watawala na urafiki huwekwa pempeni.

Yule kijana wa Tunisia aliacha impact kubwa sana kati ya watawala na watawaliwa wa Dunia hii.

Kwanza hata yule aliyemshauri ndugu yutu kuzuia kabisa mikutano ya kihanaharakati nazani alikuwa ameshaanza kuona hari furani hivi ikiendelea kuhimarika kwa kasi sana, si mijini si vijijini na ninafikiri asingeliona hilo lolote lingeweza kutokea, nafikiri mikutano ile siku za mbele ingetumika kama njia ya mobilization, hata kama ni halali kisheria lakini kwa mustakabali wa watawala si jambo la afya kwao.
Acha hadithi kijana,ingia barabarani dunia itakukumbuka.!
 
IMG_20180219_150040_043.jpg
 
Linaweza kuwa ni andiko bora sana kwa wakati huu tuliopo kuwahi kuwekwa hapa JF.lakini sio wote watakaolielewa. Na sababu za kutolielewa halitokani na ugumu wa lugha iliyotumika Bali ni watu kupuuzia vitu kwa kuamini kuwa kuna mstari mnene sana kati ya nguvu ya watawala na watawaliwa.ndio maana kila siku watawaliwa hunyenyekea watawala hata kwa vitu ambavyo vina lack some senses ! Sayansi inasema kila kiumbe hai kinasumu,including human being tena wanasema sumu ya binadamu ni hatari kuliko hata ya black mamba na python.Ila pia wajuvi wa mambo wameenda mbali zaidi kwa kusema sumu ya binadamu mnyonge ni hatari zaidi kuliko ya binadamu alielizika japo wote ni binadamu.ahsanteni
 
Umejiondoa kabisa kwenye kadhia hii as if kwamba you see nothing ,each and everything is right .I got your back boy
not right ,
I'm very sad about how they did ,that is not have been taught that, that police are not worth and not compatible
 
Back
Top Bottom