UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Shetani anavyo vitu vyake na kwa bahati mbaya sana kuna wanadamu wameamua kuvitumia na hawataki kuviachia.
Furaha ya shetani ni kuona mwanadamu anakufa akiwa ameshikilia vitu vyake,Atahakikisha kitu chake unakitunza na kuking'ang'ania kwa gharama yeyote hadi unaingia kaburini.
1. Kama unaendelea kugida pombe kwa mbwembwe zote huku ukiziita majina mbalimbali ya kukupendeza elewa kwamba hiyo ni Mali ya Shetani na unaendelea kumtunzia mali yake hadi unaingia kaburini.
2. Kama bado unaendeleza zinaa/Uasherati/Ufuska/Uzinzi tambua kabisa ya kwamba hizo ni mali za shetani na endelea kumtunzia na ipo siku atakudai.
3. Kama bado unaendeleza kuiba,kutapeli na kulaghai wewe endelea kumtunzia shetani mali yake na ipo siku atakudai.
4. Kama bado unaendelea kutembea na shemeji yako kwa kificho ukidhani kuna mtu unamkomoa tambua ya kwamba hiyo ni mali ya shetani na muda si mrefu atahitaji mali zake.
5. Kama bado unaendelea kufira/kufirwa ukidhani huonekani we tambua ya kwamba hiyo ni mali ya shetani unaimiliki na ipo siku ataidai mali yake.
6. Kama bado unaendelea kutumia ushirikina kwenye biashara yako ukidhani huonekani,elewa ya kwamba hiyo ni mali ya shetani amekupatia na ipo siku atakudai.
7. Endeleza sana fitina hapo kwenye biashara na kazini kwako ukidhani hiyo ni mali yako,hiyo mali niya shetani na muda si mrefu ataidai.
8. Endelea sana kutembea na Mke/Mume wa mtu ukidhani kuna mtu unamkomoa kumbe unamiliki mali za shetani.
Je, unamiliki nini cha Shetani?
USIKAE NA MALI ZA SHETANI MRUDISHIE ILI ASIJE KUZIDAI.
ONYO :
Nyie mnaojifanyaga hamuamini Uwepo wa Mungu piteni kama mnaaga maiti msije nisababishia Ban.
Shetani anavyo vitu vyake na kwa bahati mbaya sana kuna wanadamu wameamua kuvitumia na hawataki kuviachia.
Furaha ya shetani ni kuona mwanadamu anakufa akiwa ameshikilia vitu vyake,Atahakikisha kitu chake unakitunza na kuking'ang'ania kwa gharama yeyote hadi unaingia kaburini.
1. Kama unaendelea kugida pombe kwa mbwembwe zote huku ukiziita majina mbalimbali ya kukupendeza elewa kwamba hiyo ni Mali ya Shetani na unaendelea kumtunzia mali yake hadi unaingia kaburini.
2. Kama bado unaendeleza zinaa/Uasherati/Ufuska/Uzinzi tambua kabisa ya kwamba hizo ni mali za shetani na endelea kumtunzia na ipo siku atakudai.
3. Kama bado unaendeleza kuiba,kutapeli na kulaghai wewe endelea kumtunzia shetani mali yake na ipo siku atakudai.
4. Kama bado unaendelea kutembea na shemeji yako kwa kificho ukidhani kuna mtu unamkomoa tambua ya kwamba hiyo ni mali ya shetani na muda si mrefu atahitaji mali zake.
5. Kama bado unaendelea kufira/kufirwa ukidhani huonekani we tambua ya kwamba hiyo ni mali ya shetani unaimiliki na ipo siku ataidai mali yake.
6. Kama bado unaendelea kutumia ushirikina kwenye biashara yako ukidhani huonekani,elewa ya kwamba hiyo ni mali ya shetani amekupatia na ipo siku atakudai.
7. Endeleza sana fitina hapo kwenye biashara na kazini kwako ukidhani hiyo ni mali yako,hiyo mali niya shetani na muda si mrefu ataidai.
8. Endelea sana kutembea na Mke/Mume wa mtu ukidhani kuna mtu unamkomoa kumbe unamiliki mali za shetani.
Je, unamiliki nini cha Shetani?
USIKAE NA MALI ZA SHETANI MRUDISHIE ILI ASIJE KUZIDAI.
ONYO :
Nyie mnaojifanyaga hamuamini Uwepo wa Mungu piteni kama mnaaga maiti msije nisababishia Ban.