Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,456
- 40,446
Wengi wanashauri, ili ufanikiwe lazima ufanye kazi kwa bidii; lakini miaka nenda rudi, kuna wasukuma mikokoteni wanafanya kazi kwa bidii, waponda kokoto wanafanya kazi kwa bidii, mkulima analima kwa bidii, mchoma mahindi anahoma kwa bidii, muuza nyanya anafanya kwa bidii n.k lakini maisha yao yako vile vile.
Sasa, hii kufanya kazi kwa bidii inamaanisha nini? Kwa nini tusiseme kufanya kazi kwa werevu?
Sasa, hii kufanya kazi kwa bidii inamaanisha nini? Kwa nini tusiseme kufanya kazi kwa werevu?