Ipi ni bora kati ya Subaru forester (Isiyo na turbo) na Volkswagen Tiguan, zote za 2010?

Tiguan all day everyday,ninayo mwaka wa 2 sasa naitumia sana offroad (90% ya matumizi yangu) kulingana na mazingira nilipo(mkoa wa rukwa) na hainiletei shida,japo huku niliko spare zote naagiza dar.
well, natamni kupata experience ya hii gari kwa ufupi kaka, changamoto zake ndogondogo pamoja na services. Ahsante
 
Angalia jinsi Volkswagen gear level yake inavyokuwa Kwanza ina option ya manual na automatically pia ina sport mode hii ni technology ambayo mjapan hawezi kufanya kwenye gear box moja(dual clutch plates)...
Kama mnafukuzana na Volkswagen dhidi ya Subaru basi tambua kuwa Volkswagen atakuwa anaovertake sehemu ambazo wewe hautaweza huyu mwenzio anaweza akavuka magari Hadi 4 Kwa sekunde 10 Tu.

Hayo magari ya kijerumani usifananishe na wajapan wameachwa mbali Sana kwenye performanceVw

Hiyo ni dual clutch gearbox sio CVT au auto za kawaida ambazo zipo kwenye gali nyingi za mjapan. Hii inafanya inachanganya faster faster kutafuta speed ya juu na ndiyo maana unakuta gari zao zina top speed mpaka 240.

Subaru ina CVT transmission haiko sporty,ipo slow lakini hauta shindwa garage kwa fundi maiko kwa matengenezo kila siku 🤗.
Tunazungumzia speed au performance ?....mimi nachofahamu gari zina kitu kinaitwa horse power (hp) subaru kwa mfano zipo aina fulani ya subaru forester za kuanzia mwaka 2013 zinaitwa (subaru forester sjg) hazina pua ila zina turbo zina horse power 280...gear box gani ya tiguan inaeza shinda hii gari ?
 
Tunazungumzia speed au performance ?....mimi nachofahamu gari zina kitu kinaitwa horse power (hp) subaru kwa mfano zipo aina fulani ya subaru forester za kuanzia mwaka 2013 zinaitwa (subaru forester sjg) hazina pua ila zina turbo zina horse power 280...gear box gani ya tiguan inaeza shinda hii gari ?
Torque ndiyo mpango mzima, kwenye gari usiangalie horsepower tu. Torque ni nguvu ya engine kuzungusha matairi from zero,the higher the torque the faster the car. Subaru ina horsepower 280 na Torque kiasi gani?

Hiyo Subaru unayoisema ina CVT gearbox 😔😔,Cvt sio gearbox ya mbio boss. Dual au single clutch ndiyo gearbox za mbio. CVT ni kwa ajili ya fuel economy tu makini performance ni 0. Hiyo Subaru hata kwa VW polo yenye DSG transmission haisogei.
 
Tunazungumzia speed au performance ?....mimi nachofahamu gari zina kitu kinaitwa horse power (hp) subaru kwa mfano zipo aina fulani ya subaru forester za kuanzia mwaka 2013 zinaitwa (subaru forester sjg) hazina pua ila zina turbo zina horse power 280...gear box gani ya tiguan inaeza shinda hii gari ?
Aiseeee ndugu yangu hivi unajua maana ya horse power na torque ratio?
Kumbuka gear box ina maana kubwa Sana kwenye performance, ebu siku moja itafute Volkswagen GTi uliza kuhusu hiyo gari na ukipata majibu utakuja hapa kutoa majibu

Nikirudi kwenye upande wa Subaru forester 2013 haina horse power 280 huo ni uongo na kama ulisimuliwa basi umedanganywa kwelikweli.
Angalia mfano wa land cruiser LC 200( V8) na land cruiser LC 300( V6 engine with 10 speed transmission).
V8 ina horse power kubwa na mashine kubwa lakini kwenye speed anakalishwa kama amesimama na kutokana na LC300 kuwa gear 10 huku V8 ikiwa gear 7
 
Torque ndiyo mpango mzima, kwenye gari usiangalie horsepower tu. Torque ni nguvu ya engine kuzungusha matairi from zero,the higher the torque the faster the car. Subaru ina horsepower 280 na Torque kiasi gani?

Hiyo Subaru unayoisema ina CVT gearbox 😔😔,Cvt sio gearbox ya mbio boss. Dual au single clutch ndiyo gearbox za mbio. CVT ni kwa ajili ya fuel economy tu makini performance ni 0. Hiyo Subaru hata kwa VW polo yenye DSG transmission haisogei.
Shukran Sana chief Kwa kumpa shule huyo jamaa
 
Back
Top Bottom