Sindikiza na pichaTiguan all day everyday,ninayo mwaka wa 2 sasa naitumia sana offroad (90% ya matumizi yangu) kulingana na mazingira nilipo(mkoa wa rukwa) na hainiletei shida,japo huku niliko spare zote naagiza dar.
We jamaa nahis ntakua nakufahamuu. Na mimi nipo Rukwa.Tiguan all day everyday,ninayo mwaka wa 2 sasa naitumia sana offroad (90% ya matumizi yangu) kulingana na mazingira nilipo(mkoa wa rukwa) na hainiletei shida,japo huku niliko spare zote naagiza dar.
Bajeti yako ngapi?Kati ya kluger na Vanguard ipi ni nzuri zaidi?
15,000,000Bajeti yako ngapi?
Chukua 2009 Subaru forester South Africa=8m TZS... Uje upambane na Kodi TRA border Tunduma au Kasumulu15,000,000
Kodi unaweza ika- double?Chukua 2009 Subaru forester South Africa=8m TZS... Uje upambane na Kodi TRA border Tunduma au Kasumulu
robotatuKodi unaweza ika- double?
Chukua unayoipenda wewe…nimetumia matoleo matatu ya forester sijawahi kujutia.
Unatumia site gan kupata Gar south?Kodi unaweza ika- double?
well, natamni kupata experience ya hii gari kwa ufupi kaka, changamoto zake ndogondogo pamoja na services. AhsanteTiguan all day everyday,ninayo mwaka wa 2 sasa naitumia sana offroad (90% ya matumizi yangu) kulingana na mazingira nilipo(mkoa wa rukwa) na hainiletei shida,japo huku niliko spare zote naagiza dar.
Angalia jinsi Volkswagen gear level yake inavyokuwa Kwanza ina option ya manual na automatically pia ina sport mode hii ni technology ambayo mjapan hawezi kufanya kwenye gear box moja(dual clutch plates)...
Kama mnafukuzana na Volkswagen dhidi ya Subaru basi tambua kuwa Volkswagen atakuwa anaovertake sehemu ambazo wewe hautaweza huyu mwenzio anaweza akavuka magari Hadi 4 Kwa sekunde 10 Tu.
Hayo magari ya kijerumani usifananishe na wajapan wameachwa mbali Sana kwenye performanceVw
Tunazungumzia speed au performance ?....mimi nachofahamu gari zina kitu kinaitwa horse power (hp) subaru kwa mfano zipo aina fulani ya subaru forester za kuanzia mwaka 2013 zinaitwa (subaru forester sjg) hazina pua ila zina turbo zina horse power 280...gear box gani ya tiguan inaeza shinda hii gari ?Hiyo ni dual clutch gearbox sio CVT au auto za kawaida ambazo zipo kwenye gali nyingi za mjapan. Hii inafanya inachanganya faster faster kutafuta speed ya juu na ndiyo maana unakuta gari zao zina top speed mpaka 240.
Subaru ina CVT transmission haiko sporty,ipo slow lakini hauta shindwa garage kwa fundi maiko kwa matengenezo kila siku 🤗.
Torque ndiyo mpango mzima, kwenye gari usiangalie horsepower tu. Torque ni nguvu ya engine kuzungusha matairi from zero,the higher the torque the faster the car. Subaru ina horsepower 280 na Torque kiasi gani?Tunazungumzia speed au performance ?....mimi nachofahamu gari zina kitu kinaitwa horse power (hp) subaru kwa mfano zipo aina fulani ya subaru forester za kuanzia mwaka 2013 zinaitwa (subaru forester sjg) hazina pua ila zina turbo zina horse power 280...gear box gani ya tiguan inaeza shinda hii gari ?
Aiseeee ndugu yangu hivi unajua maana ya horse power na torque ratio?Tunazungumzia speed au performance ?....mimi nachofahamu gari zina kitu kinaitwa horse power (hp) subaru kwa mfano zipo aina fulani ya subaru forester za kuanzia mwaka 2013 zinaitwa (subaru forester sjg) hazina pua ila zina turbo zina horse power 280...gear box gani ya tiguan inaeza shinda hii gari ?
Shukran Sana chief Kwa kumpa shule huyo jamaaTorque ndiyo mpango mzima, kwenye gari usiangalie horsepower tu. Torque ni nguvu ya engine kuzungusha matairi from zero,the higher the torque the faster the car. Subaru ina horsepower 280 na Torque kiasi gani?
Hiyo Subaru unayoisema ina CVT gearbox 😔😔,Cvt sio gearbox ya mbio boss. Dual au single clutch ndiyo gearbox za mbio. CVT ni kwa ajili ya fuel economy tu makini performance ni 0. Hiyo Subaru hata kwa VW polo yenye DSG transmission haisogei.