Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 824
Construction company
Mkuu wako kibiashara zaidi.Soon kuna mtu atalia hapa
HahahhahhhaAisee dingo inamaana weee matamanio yako ni kufanya biashara ya human trafficking au Kuwa Pimp nn! Mbona umemganda sana huyo mrembo? Nendeni chemba kama vp.
dah aise hahahhahaSoon kuna mtu atalia hapa
Naomba elezea hi inafanyaje kazi nainagagaonaga tu.Hedge Fund.
Attractive...soko lako liko wapi mkuu?Biashara ya ndoto yangu ni kuwa na kiwanda cha mikate means Bekary pia nimejifunza mambo mengi kwakusoma na kwavitendo pia now nipo vizuri kuanzia jikoni mpaka kwenye management na masoko pia nafaham production gani inatakiwa tena kwakiwango gani pia sijaangalia nimuuzie nani nimelenga kila mwananchi apate huduma kutokana na kipato chache
(jumakiuno93@gmail.co)View attachment 1766422View attachment 1766429View attachment 1766430View attachment 1766431
Biashara hii unaanzisha sehemu yoyote ile ila kikubwa ni research kwanzaAttractive...soko lako liko wapi mkuu?