Iphone unvailable

Fabian Vitus

JF-Expert Member
Jul 18, 2022
4,666
5,716
Habari Wana jamvi la Jf naomba msaada kidogo kuitatua shida ya sim niliyo nayo apa kwa mwenye uzoefu sim hii nimesahau password wakufungulia screen hivyo kwa chochote nachoitaji kufanya katika sim haiwezi function isipokua mtu akinipigia napokea kama Kawaida iphone 7plus ni hivo tu kama haiwezekani mnielekeze wapi Pana fundi mzuri wakuweza fungua sim hii maana najaribu kubofya kitufe hiki pia ili niombe maelekezo naona akionyeshi ishara yoyote kua sauti imepokelewa
 
Habari Wana jamvi la Jf naomba msaada kidogo kuitatua shida ya sim niliyo nayo apa kwa mwenye uzoefu sim hii nimesahau password wakufungulia screen hivyo kwa chochote nachoitaji kufanya katika sim haiwezi function isipokua mtu akinipigia napokea kama Kawaida iphone 7plus ni hivo tu kama haiwezekani mnielekeze wapi Pana fundi mzuri wakuweza fungua sim hii maana najaribu kubofya kitufe hiki pia ili niombe maelekezo naona akionyeshi ishara yoyote kua sauti imepokelewa
Unajua pasword zako za iCloud?
 
Habari Wana jamvi la Jf naomba msaada kidogo kuitatua shida ya sim niliyo nayo apa kwa mwenye uzoefu sim hii nimesahau password wakufungulia screen hivyo kwa chochote nachoitaji kufanya katika sim haiwezi function isipokua mtu akinipigia napokea kama Kawaida iphone 7plus ni hivo tu kama haiwezekani mnielekeze wapi Pana fundi mzuri wakuweza fungua sim hii maana najaribu kubofya kitufe hiki pia ili niombe maelekezo naona akionyeshi ishara yoyote kua sauti imepokelewa

Simu ni yako kweli mkuu?? Kama ndio nenda kkoo ila ndo utapoteza kila kitu kilichomo humo!!! icloud yako password unakumbuka?
 
Unajua pasword zako za iCloud?
Good question km anaifahamu au la anaweza recover password through email as well au namba ya simu aliojiungia iCloud ukiwa huna vyote hivyo basi andaa document zako ulizonunulia then tumia simu/computer ya mtu mwingine ongea na apple support they can help you ila kikubwa ni uthibitisho wa kua ww ndio owner otherwise hawatakusaidia
 
Habari Wana jamvi la Jf naomba msaada kidogo kuitatua shida ya sim niliyo nayo apa kwa mwenye uzoefu sim hii nimesahau password wakufungulia screen hivyo kwa chochote nachoitaji kufanya katika sim haiwezi function isipokua mtu akinipigia napokea kama Kawaida iphone 7plus ni hivo tu kama haiwezekani mnielekeze wapi Pana fundi mzuri wakuweza fungua sim hii maana najaribu kubofya kitufe hiki pia ili niombe maelekezo naona akionyeshi ishara yoyote kua sauti imepokelewa
Nawashukuru wote kwa ushirikiano waaelekezo yenu nimefanikisha jambo langu sim imepona tyr🙏Mungu awa bariki sana
 
Back
Top Bottom