Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,666
- 5,716
Habari Wana jamvi la Jf naomba msaada kidogo kuitatua shida ya sim niliyo nayo apa kwa mwenye uzoefu sim hii nimesahau password wakufungulia screen hivyo kwa chochote nachoitaji kufanya katika sim haiwezi function isipokua mtu akinipigia napokea kama Kawaida iphone 7plus ni hivo tu kama haiwezekani mnielekeze wapi Pana fundi mzuri wakuweza fungua sim hii maana najaribu kubofya kitufe hiki pia ili niombe maelekezo naona akionyeshi ishara yoyote kua sauti imepokelewa