Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,577 Dec 8, 2015 #1 Attachments 8E9U3031.jpg 48.7 KB · Views: 2,779
bowlibo JF-Expert Member Dec 10, 2011 3,206 2,899 Dec 8, 2015 #2 We ni dogo tu huwezi kukalia kiti kama hiki
Zamiluni Zamiluni JF-Expert Member Feb 11, 2014 13,997 15,104 Dec 8, 2015 #3 Long live JK !! mtu wa watu....... huyo bhanaa!!
S Sumu JF-Expert Member Nov 5, 2010 6,958 6,076 Dec 8, 2015 #5 Nimechelewa Airport, nitarudi tuongee vizuri.
swissme JF-Expert Member Aug 15, 2013 13,662 19,880 Dec 8, 2015 #6 Jamaa kanyonya watanzania.check anavyomuenjoy mzee wa wawatu. swissme
Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,577 Dec 8, 2015 Thread starter #7 swissme said: Jamaa kanyonya watanzania.check anavyomuenjoy mzee wa wawatu. swissme Click to expand... uNAEZA kuta huyo babu ni mdogo kwa JK
swissme said: Jamaa kanyonya watanzania.check anavyomuenjoy mzee wa wawatu. swissme Click to expand... uNAEZA kuta huyo babu ni mdogo kwa JK
Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,577 Dec 8, 2015 Thread starter #8 Sumu said: Nimechelewa Airport, nitarudi tuongee vizuri. Click to expand... hahahaa...duh!!
Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,577 Dec 8, 2015 Thread starter #9 haa mym said: Atukufanya makosa kumkata Lowasa Click to expand... duuh..
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,410 119,112 Dec 8, 2015 #11 Mgirik said: jk kwa usanii anatisha. Click to expand... Kauli hii tungeisema miezi kadhaa nyuma tungeparuana hapa hadi basi
Mgirik said: jk kwa usanii anatisha. Click to expand... Kauli hii tungeisema miezi kadhaa nyuma tungeparuana hapa hadi basi
Ryaro wa Ryaro JF-Expert Member Oct 4, 2010 2,659 1,422 Dec 8, 2015 #12 Mimi Ndiye Jipu Kuu Hapa Tanzania, Hakuna wa Kunitumbua Majipu Yangu...
Mgirik JF-Expert Member Apr 27, 2013 13,204 13,182 Dec 8, 2015 #13 Khantwe said: Kauli hii tungeisema miezi kadhaa nyuma tungeparuana hapa hadi basi Click to expand... sio kweli mkuu mm sijawahi kumkubali Jk hata siku moja. Ndan ya ccm nawakubali watu wawili tu. Mkapa na King Magufuli
Khantwe said: Kauli hii tungeisema miezi kadhaa nyuma tungeparuana hapa hadi basi Click to expand... sio kweli mkuu mm sijawahi kumkubali Jk hata siku moja. Ndan ya ccm nawakubali watu wawili tu. Mkapa na King Magufuli
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,656 13,481 Dec 8, 2015 #14 ...'we lete bao hapa uone...haki ya nani mi nakukalisha'
ESCORT 1 JF-Expert Member Dec 7, 2015 1,267 2,519 Dec 8, 2015 #16 Sikiliza Mzee, Ngosha Akimgusa TUU!! Riz Ama Zake Ama Zangu!!
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,410 119,112 Dec 8, 2015 #20 Mgirik said: sio kweli mkuu mm sijawahi kumkubali Jk hata siku moja. Ndan ya ccm nawakubali watu wawili tu. Mkapa na King Magufuli Click to expand... Huna lolote....huwezi kuwa mwanachama wa chama ambacho unawakubali wanachama wawili tu
Mgirik said: sio kweli mkuu mm sijawahi kumkubali Jk hata siku moja. Ndan ya ccm nawakubali watu wawili tu. Mkapa na King Magufuli Click to expand... Huna lolote....huwezi kuwa mwanachama wa chama ambacho unawakubali wanachama wawili tu