Inveter inayojiendesha yenyewe!

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
1,002
274
WanaJF mambo vp? Jamani umeme unatusumbua sana hadi unapelekea nawaza jambo fulani sijui inawezekana? Hivi hakuna utaalamu unaoweza kutumika ukawa na inveter inayozalisha umeme wa AC220v umeme huo ugawanyike mara 2. Moja utumike kuwasha tv radio nk, mbili urudi kuchaji zile betri zinazoendesha hiyo inveter kwa ufupi iwe kama umeme wa kwenye gari unavyopatikana.Yaani kadiri unavyo washa tv au redio ndivyo betri zinayvo chajiwa.Hebu wanajf tuliangalie hili haliwezekani? Na kama haiwezekani ninini kitakachokuwa kinakwamisha???
 
Mkuu umenikumbusha zamanii nikiwa shule tulikuwa tunawaza hivyo.ila wataalamu wa physics wanasema ili upate nguvu ya kiasi fulani ni lazima izalishwe na kiasi kilekile cha nguvu kinachotakiwa kutumika
 
kuna law 1 ya physics inasema

"energy can neither be created nor destroyed but can be transformed from one form to another"

conclusion n kwamba unaloliwaza haliwezekani.
 
you can not create something out of nothing. Period. Haiwezekani mkuu! pole sana
 
Mwambie hv! Mfumo wa gari na maelezo yake ni vi2 viwili tofauti. Wazo ambalo linahitajika ni kwamba mpinzani wa hw wajinga wa Tanesco watokee tu. Pole kaka ina hata hapa 2lipo nafikiri tunashiriki mkondo mmoja kwani tangu saa moja jioni hapa hakuna ki2. Yani we acha2!
 
Mwambie hv! Mfumo wa gari na maelezo yake ni vi2 viwili tofauti. Wazo ambalo linahitajika ni kwamba mpinzani wa hw wajinga wa Tanesco watokee tu. Pole kaka ina hata hapa 2lipo nafikiri tunashiriki mkondo mmoja kwani tangu saa moja jioni hapa hakuna ki2. Yani we acha2!

@liverpoolfc......te he te he ! vp mkuu niaje? kaka 'spidi' yako mimi siiwezi duh!
 
Pisha! Wa2 2mechoshwa na Mapapa wa2 wa nchi hii! Cwezi kusema mengi ila 2takutana kwny thread. Nimehamia kwenye MALUMBANO YA HOJA ndani ya ITV.
 
Cool but wont ever work. Why? There is no such thing as free energy and that would be free energy. Ukicharge battery unaweka energy toka kwenye umeme kwenda kwenye chemicals in the cell. Unavyotumia battery tuseme kuwashia taa,unatoka chemical to light kwa hiyo tunaitumia stored energy kupata mwanga. Hata kama ukigawa umeme kidogo upite kwenye taa mwingine ucharge battery,energy itapotea kwenye taa ili upate mwanga mpaka circuit yote itaishiwa voltage na itazima. Hata gari linaweza kuchaji betri yake sababu umeshaweka mafuta(source of energy). The theory of free energy was tested(i saw t on discovery ch. once) but none of the plans worked. Google free energy to see some of the plans.Cha kufanya ni kutafuta source ya energy ambayo ni rahisi kuipata na cheap and reliable you know like the sun or something.
 
Cool but wont ever work. Why? There is no such thing as free energy and that would be free energy. Ukicharge battery unaweka energy toka kwenye umeme kwenda kwenye chemicals in the cell. Unavyotumia battery tuseme kuwashia taa,unatoka chemical to light kwa hiyo tunaitumia stored energy kupata mwanga. Hata kama ukigawa umeme kidogo upite kwenye taa mwingine ucharge battery,energy itapotea kwenye taa ili upate mwanga mpaka circuit yote itaishiwa voltage na itazima. Hata gari linaweza kuchaji betri yake sababu umeshaweka mafuta(source of energy). The theory of free energy was tested(i saw t on discovery ch. once) but none of the plans worked. Google free energy to see some of the plans.Cha kufanya ni kutafuta source ya energy ambayo ni rahisi kuipata na cheap and reliable you know like the sun or something.

Gud Guy bana,usiseme EVER-aliens wanafanya hiyo bana!
Mkuu, huwa napenda sana unavyodadavua masuala tekniko kwa lugha rahisi yenye kueleweka!
 
Gud Guy bana,usiseme EVER-aliens wanafanya hiyo bana!
Mkuu, huwa napenda sana unavyodadavua masuala tekniko kwa lugha rahisi yenye kueleweka!
Ooww i almost forgot them aliens. I always ponder do they really exist?if they do then it means the religion teachings are not true. I'd love to see those UFO's though.
 
Back
Top Bottom