nimoooo.. thanx GOD.. wadau tuombeane
nimoooo.. thanx GOD.. wadau tuombeane
Jipange wwe, kuwemoooooo.... sio 7bu.
Habari waungwana. Hv oral ya utumishi inakuaga vipi? Maswali ya clac tena au background tu? Kiinglish?
sio kiinglish ni kinyakyusa
Ujinga wetu ule ule, kwa nini usijibu kulingana na swali lilivoulizwa, hujui kaa kimya
ujinga wenu na nani? nimekosea nini kukujibu hapo? huwezi uliza swali la kijinga kama hilo ukajibiwa vizuri? kwahyo ulitegemea interview itafanyika kwa kibena au kihehe?
so that's why na we ukajibu kijinga, sa hapo nan mjinga? Aliyeuliza swali la kijinga au "aliyejibu kijinga"?