Interview tarehe 18

Tayari majina yote yamewekwa kwa watu waliofuzu wajiandae na oral, ingieni kwenye website ya ajira mtayaona muda huu
 
Mi sometimes nashindwa kuwaelewa wasomi wetu,kazi unataka interview unaongopa!c umesoma na unajiamin unaongopa nn?nenda kadhihirishe uwezo wako!
 
ujinga wenu na nani? nimekosea nini kukujibu hapo? huwezi uliza swali la kijinga kama hilo ukajibiwa vizuri? kwahyo ulitegemea interview itafanyika kwa kibena au kihehe?

So that's why na we ukajibu kijinga, sa hapo nan mjinga? aliyeuliza swali la kijinga au "Aliyejibu Kijinga"?
 
Back
Top Bottom