Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,883
- 3,628
mleta mada na genge lake ni wapumbav sanaHuu ndiyo mfumo mzuri wa kuondoa urasimu! Huenda hata mtoto wa mkulima akapata nafasi.
mleta mada na genge lake ni wapumbav sanaHuu ndiyo mfumo mzuri wa kuondoa urasimu! Huenda hata mtoto wa mkulima akapata nafasi.
Nilichojifunza watanzania wengi ni wapingaji wa kila kitu hata kama hawajui wanapinga nini. Kati ya jambo zuri ambalo secretariate wamelifanya ni hili la kugawanya interview sehemu mbalimbali za nchi.Sektretarieti ya ajira na utumishi wa umma, leo wametangaza kuanza mchakato wa kufanya usahili kwa njia ya mtandao (online interview) hiki ni kipigo kingine kwa watoto wa wakulima wasiokuwa na mjomba, shangazi, au baba wa kuwashika mkono..
We unaona ni rahic kuwa na PC?Kama kuna graduate anaomba kazi na hana kompyuta hata mpakato inabidi ajitafakari
Nilichojifunza watanzania wengi ni wapingaji wa kila kitu hata kama hawajui wanapinga nini. Kati ya jambo zuri ambalo secretariate wamelifanya ni hili la kugawanya interview sehemu mbalimbali za nchi.
Yani kama wewe uko bukoba haulazimiki kuhama nyumbani na kwenda kukaa kwa mjomba ambae yupo dodoma ili uweze kuwahi interview. Yani interview unaletewa hapo nyumbani.
Unatoka shambani kulima unaenda kwenye interview asubuhi unafanya hapohapo unapata majibu unarudi nyumbani unaendelea na shambalako la mchicha. Yani buku itakupeleka kufanya interview na kukurudisha.
Mtoa mada uwe unafanya utafiti. Acha kukurupuka na kuchanganya jamii. Sanyingine mafanikio huanza kwa kuwa na +ve mindset.
Kila aliewahi kufanya interview za secretariate atakuambia. Hakunaga vimemo kule. Unatakiwa uwe na msuli wa kushindana na watanzania wengine. Ukisikia mtu Akilalamika tafitinuwezo wake utagundua kashindwa kushindana.
Kuanzia secretariate walipo anza kufanyisha interview ndipo kila mtanzania mwenye uwezo alipoweza kupaata nafasi ya kufanya kazi popote.
Hongereni sana secretariate. Nyie ni kati ya taasisi yenye uadilifu mkubwa. Hongereni sana.
Mimi ni mtumishi nisijisifu sana kuwa niko wizarani hapana, niko Halmashauri flani kama mhasibu, changamoto ni kuna maeneo yako KM 120 tokea HQ ya halmashauri na huko mtandano unasumbua kuliko, itambidi mtumishi asafiri aroundi 40km kufuata mtandao ili awe anajaza kazi zake kila wiki.Hivi watanzania mtaogopa teknolojia mpaka lini? Nimesikia pia watumishi wa umma wanalalamika kuwa wanatakiwa kujisajili kwa mtandao kupata services za kiutumishi .
Unaumiza unaitaji hela..Binafsi natamani iwe hivyo, usaili wa dom ni tabu na mateso.
Sidhani kama oral itakua online, huenda wataweka maswali yao then watalimit muda wa kufanya ukishayafungua.Unaumiza unaitaji hela..
Inamaana oral,written zote online?
Dr Naomba Ajira basiAccessibility, practicality & convenience!
Ila mtu ukishaamua kuangalia kitu from a negative perspective, inakua ngumu kukubali/pokea mazuri yake.
NdioWe unaona ni rahic kuwa na PC?
Cole Williams njoo tutafute wote mpaka tupate!🤓😁Dr Naomba Ajira basi
Tuanzie wapi, mimi naomba hata kibarua kama ajira, hakunaCole Williams njoo tutafute wote mpaka tupate!
Ndugu tulizoea ajira za bila interview sasa hapa hili swala la interview linatupa shida wengine tunakwendaga dodoma kwenye interview tukiwa weupe kichwani ndiomana tukikosa ajira tunaamini tumenyimwa kumbe interview zimetupiga ndiomana Kila mabadiliko yanayokuja tunapinga tu.ila huu mfumo utapunguza gharama Kwa job seekers.Toa ushauri wafanye nini sasa ili mridhike?
Ww n nani mpk jamii ione lazima upate ajira serikalinHauwezi kuwa wa haki.... Mimi mpaka leo Jamii huwa inajiuliza nilifanya nini hicho kibaya mpaka Mimi kunyimwa ajira na serikali ya Tanzania....
Lakini huu mfumo wa online utawasaidia.Kila siku Utumishi wanaanzisha mifumo mipya ambayo ni kama haina tija. Jiulize tangu utaratibu wa watumishi kuomba uhamisho kupitia mfumo badala ya kutumia makaratasi umeanzishwa umeshawafaidisha wangapi? Jibu hakuna.