Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,494 Mar 8, 2009 #1 Jamani nawatakia kila laheri wanawake wote kwenye siku yao ya kuwakumbuka wakina mama duniani..wadada wa JF nawatakia kila lililojema Mzee Masa
Jamani nawatakia kila laheri wanawake wote kwenye siku yao ya kuwakumbuka wakina mama duniani..wadada wa JF nawatakia kila lililojema Mzee Masa
M Morani75 JF-Expert Member Mar 1, 2007 613 19 Mar 8, 2009 #2 Masanilo, naomba kuungana nawe na wanajamvi wenzangu kuwatakia mama, dada, wake, ndugu, na wakina mama wote heri ya siku ya wanawake duniani!!
Masanilo, naomba kuungana nawe na wanajamvi wenzangu kuwatakia mama, dada, wake, ndugu, na wakina mama wote heri ya siku ya wanawake duniani!!
bm21 JF-Expert Member May 12, 2008 774 33 Mar 9, 2009 #3 Hongereni kina mama nami nawatakia kila la kheri. Ninaswali pia, Masanilo........ sijawahi sikia siku ya kinababa. Hivi kuna siku ya wanaume au chama cha wanaume? au ndio mfumo jike?
Hongereni kina mama nami nawatakia kila la kheri. Ninaswali pia, Masanilo........ sijawahi sikia siku ya kinababa. Hivi kuna siku ya wanaume au chama cha wanaume? au ndio mfumo jike?