Interlocking brick making machine - manual

EXTERMINATOR

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
343
90
Nahitaji interlocking brick making machine ya kununua. Kwa yeyote anayefahamu zinapouzwa tafadhali nifahamishe.
 
Manual ama auto?kama auto itakubidi uagizie south africa hydrafoam,manual kwa hapa tz unapata ukihitaji uniambie nikupatie namba ila uandae kama laki nne na nusu hv,



Nahitaji interlocking brick making machine ya kununua. Kwa yeyote anayefahamu zinapouzwa tafadhali nifahamishe.
 
Nenda chuo kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya karakana ijulikanayo kama BICO. Au nenda SIDO makao makuu utapata mashine hiyo auto au manual. Ila bei kwenye bei itakuwa ni zaidi ya laki nne na nusu manual.

Za BICO ni utata na za NHBRA ni utata pia.
Nilinunua ya kwanza NHBRA ikanitesa sana na baadae ikanibidi ninunue nyingine huko BICO zote ni kichaa tu. Nilisikitika kupoteza hela zangu, mara ya tatu nilimpata fundi wa mtaani, nikatengeneza mashine ya tatu nayo haikufaa. Zote nilizitekeleza store na nimekuwa nikipiga hesabu kuziuza kama skrepa / chuma chakavu. Mwishoni niligundua fundi mmoja mwenye workshop yake mitaa ya Kimara huko Dsm ambaye anatengene
za zenye kiwango bora. Nilimuelekeza rafiki mmoja na alinunua hapo naye anaifaidi sasa kama 3yrs zimepita.

Ushauri wangu ni kama unahitaji mashine bora uende kwa huyo fundi wa Kimara. Unaweza kutuma PM kwa details zaidi.

Alternatively kuna mchina alikuwa Millenium Park Ubungo no 15 kama 2yrs ago, nitacheck kama bado nina email yake.
Namna ya tatu ni kagiza toka "Kthai con" toka Thailand. Hawa wana manual na hydraulic machines. Angalia website yao kwa ku-google hilo jina.

Ushauri mwingine ni kuwa Hydrafoam is not better than other types of interlocking bricks/blocks. To continue later.
 
Wadau,Yule mzalishaji wa Kimara namba zake ni 0716492870 na 0754748409 anaitwa FRANK.
Pia yule Mchina contact zake hizi kama simu haifanyi kazi kwakuwa ni ya muda mrefu basi email itafanya:
WAngKILLIN chinashengya@hotmail.com
cleardot.gif

cleardot.gif

cleardot.gif
0654-910708.
 
Nenda chuo kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya karakana ijulikanayo kama BICO. Au nenda SIDO makao makuu utapata mashine hiyo auto au manual. Ila bei kwenye bei itakuwa ni zaidi ya laki nne na nusu manual.



Thats why I like JF. Asante sana Mkuu investa.tz
 
Wadau,Yule mzalishaji wa Kimara namba zake ni 0716492870 na 0754748409 anaitwa FRANK.
Pia yule Mchina contact zake hizi kama simu haifanyi kazi kwakuwa ni ya muda mrefu basi email itafanya:

WAngKILLIN chinashengya@hotmail.com

cleardot.gif

cleardot.gif

cleardot.gif
0654-910708.

Asante sana sana Mkuu eucalyptos!
 
Za BICO ni utata na za NHBRA ni utata pia.
Nilinunua ya kwanza NHBRA ikanitesa sana na baadae ikanibidi ninunue nyingine huko BICO zote ni kichaa tu. Nilisikitika kupoteza hela zangu, mara ya tatu nilimpata fundi wa mtaani, nikatengeneza mashine ya tatu nayo haikufaa. Zote nilizitekeleza store na nimekuwa nikipiga hesabu kuziuza kama skrepa / chuma chakavu. Mwishoni niligundua fundi mmoja mwenye workshop yake mitaa ya Kimara huko Dsm ambaye anatengene
za zenye kiwango bora. Nilimuelekeza rafiki mmoja na alinunua hapo naye anaifaidi sasa kama 3yrs zimepita.

Ushauri wangu ni kama unahitaji mashine bora uende kwa huyo fundi wa Kimara. Unaweza kutuma PM kwa details zaidi.

Alternatively kuna mchina alikuwa Millenium Park Ubungo no 15 kama 2yrs ago, nitacheck kama bado nina email yake.
Namna ya tatu ni kagiza toka "Kthai con" toka Thailand. Hawa wana manual na hydraulic machines. Angalia website yao kwa ku-google hilo jina.

Ushauri mwingine ni kuwa Hydrafoam is not better than other types of interlocking bricks/blocks. To continue later.

Thanx 4 Gud advice. I will work on it Mkuu
 
Nenda nyumbu kibaha 8 milioni uwe nazo, hakuna cha south wala kimara wala thailand, ni vyuma halisi havihalibiki na jeereta ya umeme unaweza kuweka unayotaka ww ili kuongeza uzalishaji kwa saa, ukitaka isiyotumia umeme unawaambia tu wanatengeneza, hutajutia uamuzi wako
 
Wadau,Yule mzalishaji wa Kimara namba zake ni 0716492870 na 0754748409 anaitwa FRANK. Pia yule Mchina contact zake hizi kama simu haifanyi kazi kwakuwa ni ya muda mrefu basi email itafanya:
WAngKILLIN chinashengya@hotmail.com
cleardot.gif
cleardot.gif
cleardot.gif
0654-910708.
Vipi machine za kawaida za kupigia tofali za block za kawaida manual naweza kupata wapi na kwa bei gani
 


Jf ni kisima cha elimu. Mkuu kwa heshima zote tafadhali fafanua matatizo uliyokumbana na hizi mashine ili kuwa jenga wenzetu na kwa faida ya ajira na thamani ya ujuzi. Natumai ukieleza mapungufu zake watayafanyia kazi na kufanya maboresho kuliko kuwafaidisha wa China.

Kwanza lazima tukubali teknolojia inaanzia kwa "duplication", kama una duplicate ni vyema ukajitahidi kutotoka kwenye original product unayokopi / duplicate.
Hawa ndugu zangu wamefanya duplication "wakitumia vifaa hafifu" na technolojia duni ya fabrication (poor workmanship).
Kwa kuhakiki nisemalo watembelee wao, chunguza vizuri hizo mashine halafu mtembelee jamaa wa Kimara (Frank) uangalie mashine zake kwa umakini then urudi kwa mchina (bahati nzuri bado yupo na wanazalisha hapa nchini sasa), uchunguze mashine zake na utakuwa na jibu la awali kabla hujanunua.

Kiutendaji;


  1. Kubwa kuliko yote ni kuzalisha tofali zinazopinda kidogo na kusababisha crak wakati wa kutoa na
  2. Mashine hazitoi tofali kirahisi (unatumia nguvu tena nyingi kuliko itakiwavyo) hivyo kupunguza uzalishaji.
  3. Kabla ya kumaliza matofali yako ya majaribio utaona baadhi ya sehemu za mashine (vyuma) vinapinda....
Kwa leo hizi naona zinatosha.
 
Nenda nyumbu kibaha 8 milioni uwe nazo, hakuna cha south wala kimara wala thailand, ni vyuma halisi havihalibiki na jeereta ya umeme unaweza kuweka unayotaka ww ili kuongeza uzalishaji kwa saa, ukitaka isiyotumia umeme unawaambia tu wanatengeneza, hutajutia uamuzi wako

Ni kweli nyumbu wana product kama ya "HYDRAFORM" (duplicate), niliiona vyema tangu walipotengeneza ile ya kwanza kama miaka 3 iliyopita. Wanatumia engine za kichina (ni kweli unaweza kubadili ukaweka nyingine kama itakusumbua).
Kama umewahi kutumia hii product tunaomba uzoefu wako mkuu.

USHAURI KUHUSU AINA ZA INTERLOCKING RICKS/BLOCKS:
UKIWA UNANUNUA MASHINE NI VYEMA UKAJUA ZAO / PRODUCT UTAKAYOZALISHA NA JINSI INAVYOFANYA KAZI KWENYE UJENZI / MATUMIZI.
Kuna aina nyingi za matofali ya kuvaana / kuumana au kufungana (interlocking).
  1. Watu wengi wamezoea "hydrafoam" japo hayaitwi hivyo (hiyo ni brand name ya hao jamaa).
Tofali hizi zina lock iliyoko straight (one way locking system) ambayo kiujenzi ina usumbufu mwingi ikiwa ni pamoja na kushindwa kujenga kona, intersections (makutano) na nguzo. Ndio maana utaona nguzo za zege n.k.
Pia kama tofali ziko wazi kkwenye edge moja ya ukuta ni rahisi kuchomoa.... Angalia picha

INTERLO6.JPG interlocking bricks.jpg


Aina ya pili ni ile yenye multi locks au loki nyingi kuanzia mbili.
  1. Haya unaweza kujengea kuta, nguzo, makutano n.k bila kuweka zege au cement ya kuyashikia. Utaweka cement /(na nondo) pale unapotaka kuongeza uimara tu.
Hii inawezekana kutokana na aina ya mshikamano ambao loki zake zimesanifiwa. -Angalia picha

ceb-block_bigger.jpg compressed earth block.jpg Bild 419.jpg FIGURE43.GIF FIGURE41.GIF jimmy_carter_04.jpg
Interlocking-Brick-Machine-SY-1.jpg filling-the-interlocking-block-wall-cavity.jpg P1030760.JPG
 
Nenda nyumbu kibaha 8 milioni uwe nazo, hakuna cha south wala kimara wala thailand, ni vyuma halisi havihalibiki na jeereta ya umeme unaweza kuweka unayotaka ww ili kuongeza uzalishaji kwa saa, ukitaka isiyotumia umeme unawaambia tu wanatengeneza, hutajutia uamuzi wako

Mkuu kweli kabisa na ukitaka uhakika zaidi wasiliana na Halmashauri zifutazo zimewahi kununua machine hizo toka TATC NYUMBU :- Kwimba, Chunya kwa kila Tarafa machine moja, Kahama, Ukerewe n.k. zaidi kuna jamaa mmoja mfanyabiashara wa kwimba yeye ndiye aliwashutua Halmashauri ya Kwimba, nategeneza pesa si mchezo mpaka akaamua kuja kutengenza zingine kwa kuleta engine ya gari ili aweze kupiga mzigo usiku kucha.
 
habar yako, nina mpango wa kununua Interlocking brick making machine - manual,naomba unielekeze kwa huyo fundi Kimara,ikiwezekana naomba mawasiliano yako,email yangu ni relax20ta@yahoo.com, ntashukulu kwa msaada wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom