Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Hello Wakubwa,
Kwa mara ya pili jengo la Inter (Interhouse) lililoko mkabala na Millennium towers, limeanza kudondosha rangi. Tulitegemea "consultants" kama hawa ndio watushauri kwa masuala yote yahusuyo ujenzi. Sasa jamani hili tunalichukuliaje, ina maana consultant wao hakuliona rangi/material zinazoendana na hali ya hewa ya hapo mahali?
Hata hivyo, jengo hili ni kivutio kikubwa sana cha macho, rekebisheni kasoro hizo jamani.
Wataalamu, hebu tushauri ili yaliyowapata interhouse yasije yakatukuta kwenye tujibanda twetu.
Kwa mara ya pili jengo la Inter (Interhouse) lililoko mkabala na Millennium towers, limeanza kudondosha rangi. Tulitegemea "consultants" kama hawa ndio watushauri kwa masuala yote yahusuyo ujenzi. Sasa jamani hili tunalichukuliaje, ina maana consultant wao hakuliona rangi/material zinazoendana na hali ya hewa ya hapo mahali?
Hata hivyo, jengo hili ni kivutio kikubwa sana cha macho, rekebisheni kasoro hizo jamani.
Wataalamu, hebu tushauri ili yaliyowapata interhouse yasije yakatukuta kwenye tujibanda twetu.