Angalia Status yangu vizuri Ritz...
Kuna madaktari wengi ilikuwaje Dr. Ulimboka mkataka kumuua....kwanini kombe mlimuua?
kumbe umeelewa waTZ wa sasa si wajinga na ndo maana hao wabunge wenu wakiwemo mawaziri wanazomewa kila kukicha katika majimbo yao kwa sababu ya siasa zao za maneno na ahadi ambazo hawazitekelezi. Pia kwenye Thread yako kuhusu matokeo ya Uraisi usipende kujitia aibu kuyazungumzia hayo kwa nini jukumu la kutangaza matokeo Tume ilikataza matokeo ya Uraisi yasitangazwe kutoka majimboni na ilitangaza yenyewe na mengi yalikuwa yanatofautiana na matokeo halisi yaliyokuwepo katika majimbo? kwa hapo Tume si ilichakachua matokeo?Wanachofanya Chadema kinanikumbusha maneno ya Gobbles aliyekuwa Waziri wa Propaganda wa utawala wa Adolph Hitler wakati wa vita kuu ya pili ya dunia 1939-1945 alisema jambo lolote ukitaka lienee na likubalike upesi litangaze na ulikariri mara kwa mara...lakini viongozi wa Chadema wanashindwa kujua kuwa watanzania wa sasa si wajinga wa kuamini kila neno la mwanasiasa.
Chadema wanadhani wanafanya makubwa kumbe wanajidanganya wenyewe wanaonyesha pia hawaelewi kabisa jukumu la Idara ya Usalama wa Taifa wanadhani ni chama cha siasa ni wapinzani wao wanaweza kurushiana vijembe na maneno mengine ya kipropaganda.
.
Hoja DHAIFU daima huletwa na mtu DHAIFU kuongelea mambo DHAIFU kwa madhumuni ya kuwasafisha watu DHAIFU..
Hawa Chadema wana siasa za kubahatisha .
Hawa Chadema wana siasa za kubahatisha .
Angalia Status yangu vizuri Ritz...
Anzisha thread ya kuitukana Chadema kama anavyofanya Ritz upeleke hiyo project yako kwa Nape utapata hela mpaka ya Idd el ftri