Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Salaam wanajamvi,
Jana tuliweza kuuthibitishia umma wa watanzania ya kuwa jamii forum ni home of great thinkers,tuliweza kuonesha mapunguf makubwa yaliyopo katika jimbo la kilindi kwa Beatrice shelukindo{mb}.
Ningependa wanaJF wote kuibua hoja juu ya mbunge huyu zilizomo jimboni mwake ili ajue yakuwa alichokifanya Bungeni leo sicho alichotumwa.
Nawasilisha.
Jana tuliweza kuuthibitishia umma wa watanzania ya kuwa jamii forum ni home of great thinkers,tuliweza kuonesha mapunguf makubwa yaliyopo katika jimbo la kilindi kwa Beatrice shelukindo{mb}.
Ningependa wanaJF wote kuibua hoja juu ya mbunge huyu zilizomo jimboni mwake ili ajue yakuwa alichokifanya Bungeni leo sicho alichotumwa.
Nawasilisha.