B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
Habari kwa mpigo ma greater thinker...nisiwachoshe,nihivi nyie kwenu mme bahatika kuzaliwa vijana wawili,we ndo mdogo.mkubwa wako bado anakaa karibu na home na wewe kutokana na miangaiko ya dunia unajimuvuzisha mikoani kutafuta maisha,huku nyuma kaka ako ana mpenda msichana,wanafanya kila kitu wapenzi wanachofanya na kumtambulisha home kwa wazazi wenu,anakupa tarifa kwenye cm kwamba now amepata mchumba,[unafurai na kumpongeza].
Wewe ukiwa bado kijana single/bachelor katika pita pita zako unakutana na msichana ambae amekuvutia sana...unapiga mtongozo anachomoa,ila mnakuwa na mawasiliano baada ya kukomaa sanaa anakukubali unamegaa mara kazaa ila kwa mashariti kwamba ana mtu wake.siku unarudi zako home/mkoa unakuta pilika pilika home kwenu kaka ako anataka akatambulishwee ukwenii,anakuomba wewee muende nae...bila hiyana mnaenda.hamadii anaefungua mlango ni yule binti uliyekuwa unamegaa mkoani na yeye kwa mshangao mkubwaa anapigwa na butwaa,unajikaza kiume unaingia ndani..kakaa ako anakwambia huyu ndo shemeji yako nilie kuwa na kwambia...binti anakuwa kimya we kimya je wee ungefanya uwamuzi gani?kuuchuna au kusemaa ukweli....
Wewe ukiwa bado kijana single/bachelor katika pita pita zako unakutana na msichana ambae amekuvutia sana...unapiga mtongozo anachomoa,ila mnakuwa na mawasiliano baada ya kukomaa sanaa anakukubali unamegaa mara kazaa ila kwa mashariti kwamba ana mtu wake.siku unarudi zako home/mkoa unakuta pilika pilika home kwenu kaka ako anataka akatambulishwee ukwenii,anakuomba wewee muende nae...bila hiyana mnaenda.hamadii anaefungua mlango ni yule binti uliyekuwa unamegaa mkoani na yeye kwa mshangao mkubwaa anapigwa na butwaa,unajikaza kiume unaingia ndani..kakaa ako anakwambia huyu ndo shemeji yako nilie kuwa na kwambia...binti anakuwa kimya we kimya je wee ungefanya uwamuzi gani?kuuchuna au kusemaa ukweli....