Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,947
Jamaa amewekewa "thong" -tena chafu -kwenye laptop case yake (anasema hamjui aliemuwekea wala muda iliowekwa). Karudi nyumbani mamsapu akataka kutumia laptop ya mzee, hamad kakutana na hiyo kitu...
Msaada wa mawazo wadau - ndoa imeingia mgogoro.
Msaada wa mawazo wadau - ndoa imeingia mgogoro.