bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Habari!
Na mimi najitahidi kutangaza vivutio vya utalii Tanzania!
Jamaa yangu anataku kutembelea TZ mwezi ujao n akusafiri mikoa ya kusini hadi Mozambique. Kutokea kule (Mozambique) nadhani ataunganisha nchi nyingine bil akurudi Tanzania. Ameniomba taarifa za namna ya kusafiri kutoka Dar hadi mpaka wa Tanzania na Mozambique; angependa kujua umbali, hoteli nzuri za kufikia (Lindi, Mtwara na Kilwa) pamoja na hali ya bararbaza (kilometa ngapi na zinapitika?
Naomba wadau mnaoishi huko au mnaofahamu maeneo hayo mnipe data, either kwa kunitumia PM au reply lkwenye thread hii hhapa jamvini!
Nawasilisha
Na mimi najitahidi kutangaza vivutio vya utalii Tanzania!
Jamaa yangu anataku kutembelea TZ mwezi ujao n akusafiri mikoa ya kusini hadi Mozambique. Kutokea kule (Mozambique) nadhani ataunganisha nchi nyingine bil akurudi Tanzania. Ameniomba taarifa za namna ya kusafiri kutoka Dar hadi mpaka wa Tanzania na Mozambique; angependa kujua umbali, hoteli nzuri za kufikia (Lindi, Mtwara na Kilwa) pamoja na hali ya bararbaza (kilometa ngapi na zinapitika?
Naomba wadau mnaoishi huko au mnaofahamu maeneo hayo mnipe data, either kwa kunitumia PM au reply lkwenye thread hii hhapa jamvini!
Nawasilisha