kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Mkuu ni hatari sio sh2800, huku mitaa flani ni tsh 3000 mpaka 3200 kwa kilo ya mchele, mpaka 2015 wakati wa uchaguzi akili itakuwa ishatukaa sawa na kujua kuwa CCM sio, viongozi wetu wamebaki kuhudhuria misiba na kukenua meno tu kwenye mikusanyiko ya watu.