Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Imewezekana kwa wenzetu!
Dah.. This is true kabisa mkuu... Nshaiona sehemu . It iz a true story
Sasa hapo la kushangaza ni lipi!?.......mbona huko Bagamoyo kuna mtu alizaliwa bila kichwa na akawekewa nazi na bado anaishi kwa raha mpaka leo?aisee ni mateso sana kwa kwel!
Sasa hapo la kushangaza ni lipi!?.......mbona huko Bagamoyo kuna mtu alizaliwa bila kichwa na akawekewa nazi na bado anaishi kwa raha mpaka leo?
Naomba unitajie jina la huyo mtu kama hautajali mzee, natamani kweli nimjue lakini sasa mbona kama umetubania, taja, taja, mkuu.