Ni rahis sana kuwapoteza watu muhimu kwenye maisha yetu,either rafiki,mchumba,ndugu wa karibu rather than kuwapoteza watu tunaowachukulia kawaida tu.Inauma sana,na sijui kwa nin vitu hivi hutokea?
Pole marida.
Ni kawaida ya binadamu kuchukulia watu for granted hadi pale tunapowakosa. Haidhuru, angalia usihuzunike na kukosa chance ya kuwathamini wengine hadi watakapoondoka maishani mwako. Jiwekee utaratibu wa kumthamini kila mtu na kila kitu maishani mwako, utajisikia vizuri. Inasaidia pia kutubu na kumuomba mungu akusamehe.
Marida unaambiwa,meeting somebody is not a coincidence but destiny...So,never underestimate anybody,tena hao unaowachukulia poa,wakiamua kuondoka,Utabakia ukihuzunika tu.Treasure everyone like Gold...isije ukawa busy unacollect stones while Gold unaziacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.