Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
- Thread starter
- #41
gfsonwin hakika umempa ushauri mzuri ila nami naongeza kidogo, afanye utafiti kujua kama huyo mtoto ananyanyaswa na mkeo. Wakati mwingine unaweza kudhani kila kitu ni sawa kumbe mkeo anampa mateso na vitisho kama "ukisema nakuua". YOU NEVER KNOW.
Mi sikubaliani na hilo kwani jana wife hakuwepo nyumbani alirudi jioni na kunikuta mimi ..........na yeye ndiye alikuwa wa kwanza kumuuliza nini tatizo na kumueleza umuhimu wa elimu.