dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
mswaada wa sheria wa marekebisho ya sheria mbalimbali ndo wanaanza nayo. naona wanaulizwa kifungu cha tano kina marekebisho ya serikali kina malekebisho ya serikali kinaafikiwa?..Ndiyo. naona wameanza kuafiki na kutoafiki vifungu. mi ngoja nile kona. nawatakia bunge jema. alamsiki.