Ushasahau hadithi ya mpanzi? Mmoja alipanda barabarani watu wakaikanyaga ikashindwa kuota... mwingine akapanda kwenye miiba, miiba ikaizonga ikashindwa kumea..... mwingine kwenye mwamba ikashindwa kuota... mwingine kama mimi tukapanda kwenye udongi mzuri ikazaa mbegu moja kwa mia.Mi sina dhambi. Umenifananisha na wewe mwenyewe.
Ila huyu jamaa katumia neno zito. Mpanzi? Dah
mbona unakimbiaaa. nilienda church bhanaLooh... natoswa mchana kweupe hadharani hivi. Ama kweli ng'ombe wa maskini hazai. Nna bahati mbaya mimi... dah!!!
Ewaaa... bora umerudi na roho yangu imeponambona unakimbiaaa. nilienda church bhana
karibu my dear. wapi sasa na hiyo kitoweo vp?Ewaaa... bora umerudi na roho yangu imepona
Bagamoyo hapa. Naangalia samaki wanavoogelea. Kitoweo nimekiacha bandani, mpishi hueleweki. Naumia sana loho walahkaribu my dear. wapi sasa na hiyo kitoweo vp?
bas njoo na samaki nifanye faster.usichukie jmn my dear mambo ni kuchukuliana ujue.Bagamoyo hapa. Naangalia samaki wanavoogelea. Kitoweo nimekiacha bandani, mpishi hueleweki. Naumia sana loho walah
Nihakikishie utanipenda daima.....bas njoo na samaki nifanye faster.usichukie jmn my dear mambo ni kuchukuliana ujue.
kwa ulivyokuja safar hii naahid kukupenda daimaNihakikishie utanipenda daima.....
Amina sana mpenzi wangu. Njoo PM basi tupange mikakati ya kikubwa.kwa ulivyokuja safar hii naahid kukupenda daima
yaan badala unambie leo utawah tuyamalize kikubwa unasema PM? Nina walakin na maneno yakoAmina sana mpenzi wangu. Njoo PM basi tupange mikakati ya kikubwa.
Ndio mpaka kila mtu ajue??yaan badala unambie leo utawah tuyamalize kikubwa unasema PM? Nina walakin na maneno yako
Oppps sory dadyNdio mpaka kila mtu ajue??