kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Inaniuma saana kuona kila kukicha ndugu zangu wa sud kivu wao tu ndo wanakuwa wakimbizi, wao tu wanateseka. Watu wanaacha nyumba zao na kila kitu chao wanaenda kuwa wakimbizi nchi zingine.
Watu ambao walikuwa wanakula vizuri wanalala vizuri Watoto wao wana soma vizuri.
Leo wanalala sehemu ambazo ni mbaya saana. Halafu huku yule bwana kule Ikulu anadanganya kila kukicha nitakufa kwa ajili ya nchi hii kutafuta kiki tu.
Nashindwa kuelewa hivi FRDC wanalipwa kweli au Vipi. M23 wanazaaga mitaani
Hivi kama ni Rwanda ndo wanaleta vurugu hizi ndani ya nchi kweli DRC tumeshindwa kabisa kuji organise kuangalia jinsi gani ya kumtoa huyu Kagame madarakani?
Mbona 1992+ Kagame, Mseveni, na Laurent Kabila waliunganisha nguvu zao wakamuondoa Mobutu madarakani.
Sisi tumeshindwa nini kufanya hivyo
Kama shida ni western kwanini tusiombe msaada wa kijeshi Urusi kuangalia jinsi gani ya kuwafukuza ndani ya nchi yetu?
Ni lazima nifanye kitu kama situation itaendelea kuwa hivyo, sitakubali kuona ndugu zangu wakiwa wakimbizi kila kukicha na wakati nchi wanayo.
Watu ambao walikuwa wanakula vizuri wanalala vizuri Watoto wao wana soma vizuri.
Leo wanalala sehemu ambazo ni mbaya saana. Halafu huku yule bwana kule Ikulu anadanganya kila kukicha nitakufa kwa ajili ya nchi hii kutafuta kiki tu.
Nashindwa kuelewa hivi FRDC wanalipwa kweli au Vipi. M23 wanazaaga mitaani
Hivi kama ni Rwanda ndo wanaleta vurugu hizi ndani ya nchi kweli DRC tumeshindwa kabisa kuji organise kuangalia jinsi gani ya kumtoa huyu Kagame madarakani?
Mbona 1992+ Kagame, Mseveni, na Laurent Kabila waliunganisha nguvu zao wakamuondoa Mobutu madarakani.
Sisi tumeshindwa nini kufanya hivyo
Kama shida ni western kwanini tusiombe msaada wa kijeshi Urusi kuangalia jinsi gani ya kuwafukuza ndani ya nchi yetu?
Ni lazima nifanye kitu kama situation itaendelea kuwa hivyo, sitakubali kuona ndugu zangu wakiwa wakimbizi kila kukicha na wakati nchi wanayo.