GENTLEMAN S
Member
- Feb 19, 2014
- 47
- 8
siamini bado,maumivu niliyonayo ni mazito,
mke wangu umeniacha,kukosa kazi limekua tatizo;
nimetoka mihangaikoni narudi nakuta haupo nyumbani umeondoka na mwanangu,bado nampenda sana huyu mwanamke
ameondoka na kuniacha kwenye kipindi kigumu sana,
mwezi ujao napaswa kulipa kodi najua umekimbia dhamna ya kufukuzwa na mwenye nyumba,ila ningepata tu mke wangu,.JAMANI WANAJF NISAIDIENI KAZI YOYOTE.
ninadharaulika sana jamani,
wanawake msiwadharau waume zenu msikimbie matatizo ndani ya nyumba..daah!
mke wangu umeniacha,kukosa kazi limekua tatizo;
nimetoka mihangaikoni narudi nakuta haupo nyumbani umeondoka na mwanangu,bado nampenda sana huyu mwanamke
ameondoka na kuniacha kwenye kipindi kigumu sana,
mwezi ujao napaswa kulipa kodi najua umekimbia dhamna ya kufukuzwa na mwenye nyumba,ila ningepata tu mke wangu,.JAMANI WANAJF NISAIDIENI KAZI YOYOTE.
ninadharaulika sana jamani,
wanawake msiwadharau waume zenu msikimbie matatizo ndani ya nyumba..daah!