sokoMchizi
Member
- Oct 15, 2022
- 48
- 199
Tanzania ni nchi ya Ajabu sanaa yani unakuta mtu aliyepata GPA ya 2 yupo Ofisini huku Yule Aliyepata GPA ya 4.5 yuko mtaani anazurula.
Huu ni Uzwazwa na Kutengeneza failure Generation kwasababu hata waliopo mashuleni hawaoni ule umuhimu wakusoma kwa bidii tena.
Huu ni Uzwazwa na Kutengeneza failure Generation kwasababu hata waliopo mashuleni hawaoni ule umuhimu wakusoma kwa bidii tena.