Inakuwaje ujenzi wa jengo unafanya kufungwa kwa barabara?

tony25

Member
Aug 1, 2008
54
11
Leo nimeona kituko hapa arusha. Kuna jengo linajengwa na NSSF hapa maeneo ya round about ya Florida. Hapa kuna njia inakatiza kwenda maeneo ya kaloleni na soweto gargen. Sasa imefungwa kwa kuwa kampuni inayojenga hilo jengo wemejaza material yote ya ujenzi barabarani na kuweka kibao kuwa barabara imefungwa kwa muda. Sasa najiuliza hilo jengo ni kama la gorofa 20 hivi na ndio liko kwenye foundation, sasa barabara itafungwa mpaka lini? na je watu wanaokaa eneo hilo watapata usumbufu kiasi gani? na je mtu aliyetoa bulding permit hakuweza kujua kwamba pale hakutakuwa na sehemu kwa ajili ya kuweka building materials? Unaomba ufafanuzi wa wana body. Nawakilisha
 
this can happen only in Tanzania. Kuna vituko sana huko juu, nafikiri kumejaa vilaza wengi sana.
 
Is this article supposed to be under "Jukwaa la Siasa"? I don't think so. Tena unaonekana kuwa mkongwe humu JF mbona tena hivyo kaka?
 
Huu ni ushenzi mkubwa,najaribu kutafuta mawasiliano na yule mh diwani mdogo Nanyaro,pengine akaweza kulifanyia kazi,mwenye contact zake jamani,
 
Leo nimeona kituko hapa arusha. Kuna jengo linajengwa na NSSF hapa maeneo ya round about ya Florida. Hapa kuna njia inakatiza kwenda maeneo ya kaloleni na soweto gargen. Sasa imefungwa kwa kuwa kampuni inayojenga hilo jengo wemejaza material yote ya ujenzi barabarani na kuweka kibao kuwa barabara imefungwa kwa muda. Sasa najiuliza hilo jengo ni kama la gorofa 20 hivi na ndio liko kwenye foundation, sasa barabara itafungwa mpaka lini? na je watu wanaokaa eneo hilo watapata usumbufu kiasi gani? na je mtu aliyetoa bulding permit hakuweza kujua kwamba pale hakutakuwa na sehemu kwa ajili ya kuweka building materials? Unaomba ufafanuzi wa wana body. Nawakilisha

Hhahaha niliposoma harakahara nilifikiri unauliza Kwanini Ujenzi wa barabara inafanya barabara ifungwe.. sasa ujenzi wa jengo barabara ifungwe??!! huku mbelembele vichakani ujenzi wa subway barabara haujafungwa .. ingekuwa tz sijui ingekuwaje
 
Leo nimeona kituko hapa arusha. Kuna jengo linajengwa na NSSF hapa maeneo ya round about ya Florida. Hapa kuna njia inakatiza kwenda maeneo ya kaloleni na soweto gargen. Sasa imefungwa kwa kuwa kampuni inayojenga hilo jengo wemejaza material yote ya ujenzi barabarani na kuweka kibao kuwa barabara imefungwa kwa muda. Sasa najiuliza hilo jengo ni kama la gorofa 20 hivi na ndio liko kwenye foundation, sasa barabara itafungwa mpaka lini? na je watu wanaokaa eneo hilo watapata usumbufu kiasi gani? na je mtu aliyetoa bulding permit hakuweza kujua kwamba pale hakutakuwa na sehemu kwa ajili ya kuweka building materials? Unaomba ufafanuzi wa wana body. Nawakilisha

kwani wee ndio mkandarasi?? umejuaje kuwa ni zaidi ya ghorofa 20??......... istoshe hakuna jambo linakatazwa duniani kama ukipita chanel zinazotakiwa.

Masupastaa wa states wanafunga barabara kwa ajili ya shopping tu ... ije uwekezaji?? tembea kaka......
 
Leo nimeona kituko hapa arusha. Kuna jengo linajengwa na NSSF hapa maeneo ya round about ya Florida. Hapa kuna njia inakatiza kwenda maeneo ya kaloleni na soweto gargen. Sasa imefungwa kwa kuwa kampuni inayojenga hilo jengo wemejaza material yote ya ujenzi barabarani na kuweka kibao kuwa barabara imefungwa kwa muda. Sasa najiuliza hilo jengo ni kama la gorofa 20 hivi na ndio liko kwenye foundation, sasa barabara itafungwa mpaka lini? na je watu wanaokaa eneo hilo watapata usumbufu kiasi gani? na je mtu aliyetoa bulding permit hakuweza kujua kwamba pale hakutakuwa na sehemu kwa ajili ya kuweka building materials? Unaomba ufafanuzi wa wana body. Nawakilisha

Ndio athari za maendeleo hizo inabidi uvumilie.

Miew hushangazwa na zile barabara zinazofungwa jioni na watu wakaanza kupiga urabu. Zipo kwingi tu, nimeshaona hapo Arusha, Singida, Dar na Dodoma.
 
Tanzania ndio hii bwana tunaijenga wenye moyo nayo hata kama gharama yake ni kusababisha maelfu kukosa mwelekeo wa kimaisha
 
Back
Top Bottom