LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
kaa sio mkewe, we kula tu.
Ushindwe na ulegee
kaa sio mkewe, we kula tu.
Ndugu wana JF,
Asaalam. mwenzenu nimepata mtihani, tena mtihani mzito. Dem wa mshkaj anadai jamaa hampendi na wala hana mpango nae kwani ni miaka 4 sasa hataki kusikia habari ya ndoa wala mapenzi ya karibu, staili ni kukutana kila baada ya mwezi angali wote wako hapa hapa DAR. Sasa huyu dem anadai bora hata mimi shem wake ambae sina mapepe na wanawake kama mshkaji. Mimi nimemwambia huyu dada mmmh!hilo tifu anatafuta alafu tayari ni shem wangu!, mwenyewe haelewi anadai atanifukuzia hadi kieleweke. Sasa sijui anataka aniendee Tanga, nikiingia line je na mshkaji si ataniona mimi ndo mchawi... jamani nisaidieni.....
mie huwa sishindwagi na daima natengezaga hema la mti mmoja under favourable conditions..Ushindwe na ulegee
Ndugu wana JF,
Asaalam. mwenzenu nimepata mtihani, tena mtihani mzito. Dem wa mshkaj anadai jamaa hampendi na wala hana mpango nae kwani ni miaka 4 sasa hataki kusikia habari ya ndoa wala mapenzi ya karibu, staili ni kukutana kila baada ya mwezi angali wote wako hapa hapa DAR. Sasa huyu dem anadai bora hata mimi shem wake ambae sina mapepe na wanawake kama mshkaji. Mimi nimemwambia huyu dada mmmh!hilo tifu anatafuta alafu tayari ni shem wangu!, mwenyewe haelewi anadai atanifukuzia hadi kieleweke. Sasa sijui anataka aniendee Tanga, nikiingia line je na mshkaji si ataniona mimi ndo mchawi... jamani nisaidieni.....
ndugu wana jf,
asaalam. Mwenzenu nimepata mtihani, tena mtihani mzito. Dem wa mshkaj anadai jamaa hampendi na wala hana mpango nae kwani ni miaka 4 sasa hataki kusikia habari ya ndoa wala mapenzi ya karibu, staili ni kukutana kila baada ya mwezi angali wote wako hapa hapa dar. Sasa huyu dem anadai bora hata mimi shem wake ambae sina mapepe na wanawake kama mshkaji. Mimi nimemwambia huyu dada mmmh!hilo tifu anatafuta alafu tayari ni shem wangu!, mwenyewe haelewi anadai atanifukuzia hadi kieleweke. Sasa sijui anataka aniendee tanga, nikiingia line je na mshkaji si ataniona mimi ndo mchawi... Jamani nisaidieni.....
Ndugu wana JF,
Asaalam. mwenzenu nimepata mtihani, tena mtihani mzito. Dem wa mshkaj anadai jamaa hampendi na wala hana mpango nae kwani ni miaka 4 sasa hataki kusikia habari ya ndoa wala mapenzi ya karibu, staili ni kukutana kila baada ya mwezi angali wote wako hapa hapa DAR. Sasa huyu dem anadai bora hata mimi shem wake ambae sina mapepe na wanawake kama mshkaji. Mimi nimemwambia huyu dada mmmh!hilo tifu anatafuta alafu tayari ni shem wangu!, mwenyewe haelewi anadai atanifukuzia hadi kieleweke. Sasa sijui anataka aniendee Tanga, nikiingia line je na mshkaji si ataniona mimi ndo mchawi... jamani nisaidieni.....