Inakuaje pindipo hatua hii ikifikiwa Mwanamke hubadilika Moody ghafla ?

hahahaaaaaaa, Hana hela afie mbali... JF mweee. Eti Tukate majani wapi huko?

Muulizen vizuri huyu mwanaume labda sio mie beibe nasty labda anamsemea manzi wake mwingine na ndo nshambamba una kesi judgement
 
upo kwel.. nan kakuficha hivyo.!!
Jf inanichanganya mara u ar forbidden to access this wat n wat alot of shits yan inanikata mzuka nimechefuka basii tuu.mi nipo tu kipenzi vp sion hata pm sikuhiz mwambie bas bi mdada asikufanyie hivo halaf pole kwa makvu ya cg
 
Jf inanichanganya mara u ar forbidden to access this wat n wat alot of shits yan inanikata mzuka nimechefuka basii tuu.mi nipo tu kipenzi vp sion hata pm sikuhiz mwambie bas bi mdada asikufanyie hivo halaf pole kwa makvu ya cg

hahahaha CG nshamzoea, watoto wa kona ya bwiru ndo walvyo bt ukiwa supu ya miguu ya kuku tu wanaingia line.!!! pm kibao nsha2ma xema net ndo itakua inazngua.. wknd wap
 
nilikuwa chuon kujisomea then nikarud nkaenda gamba tuu kurefresh mind si unatambua mi ni mgonjwa baba nilikua na doz ya doc judgement
 
sikumbuki mara ya mwisho kuwa na aibu ni lini, labda wakati nabalehe......

Sijawahi kung'ata kucha wala kula majani.....

Ila kama mwanaume kanivutia namfuata kumwambia akubali akatae shauri yake....

Na ukinitokea wakati sikumind nakwambia ukingpang'aniza nakuoa za uso....unune usinune utajiju......

Naomba nikutongoze? ........
 
Back
Top Bottom