Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,767
mwe,kumbe ulitegemea smthng in return eeeh, imekula kwako mazima!
ah vyangu haviliwi bure, mi najua wapi pa kukushkia..
mwe,kumbe ulitegemea smthng in return eeeh, imekula kwako mazima!
hahahaaaaaaa, Hana hela afie mbali... JF mweee. Eti Tukate majani wapi huko?
Muulizen vizuri huyu mwanaume labda sio mie beibe nasty labda anamsemea manzi wake mwingine na ndo nshambamba una kesi judgement
Jf inanichanganya mara u ar forbidden to access this wat n wat alot of shits yan inanikata mzuka nimechefuka basii tuu.mi nipo tu kipenzi vp sion hata pm sikuhiz mwambie bas bi mdada asikufanyie hivo halaf pole kwa makvu ya cgupo kwel.. nan kakuficha hivyo.!!
Jf inanichanganya mara u ar forbidden to access this wat n wat alot of shits yan inanikata mzuka nimechefuka basii tuu.mi nipo tu kipenzi vp sion hata pm sikuhiz mwambie bas bi mdada asikufanyie hivo halaf pole kwa makvu ya cg
sikumbuki mara ya mwisho kuwa na aibu ni lini, labda wakati nabalehe......
Sijawahi kung'ata kucha wala kula majani.....
Ila kama mwanaume kanivutia namfuata kumwambia akubali akatae shauri yake....
Na ukinitokea wakati sikumind nakwambia ukingpang'aniza nakuoa za uso....unune usinune utajiju......