Katika nchi za wenzetu wana limit ya uzee wa magari mijini. Let say tungekuwa na sheria ya magari ya kawaida ktk jiji la Dar mwisho lenye miaka 15, public transport miaka 10. Magari yaendayo mikoani miaka 10. Yale yanayozunguka ktk wilaya na miji midogo iwe kama kawa.
Jiji kama Tokyo gari iwe na miaka 0 - 5, baada ya hapo haipati inafutiwa usajili.
Katika nchi za wenzetu wana limit ya uzee wa magari mijini. Let say tungekuwa na sheria ya magari ya kawaida ktk jiji la Dar mwisho lenye miaka 15, public transport miaka 10. Magari yaendayo mikoani miaka 10. Yale yanayozunguka ktk wilaya na miji midogo iwe kama kawa.
Jiji kama Tokyo gari iwe na miaka 0 - 5, baada ya hapo haipati inafutiwa usajili.