Tetesi: Inadaiwa Clement Mzize analipwa 600k, halafu Guede analipwa Milion 29

Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
list iko wazi kabisaa
 
Kqmq ni kweli feisal toto alikuwa na haki ya kususa ni upumbavu
Sio kweli. Kwa timu za ligu kuu, kima cha chini cha salary kwa wachezaji ni laki5. Kwa njia yeyote, haiwezekani mzize kuongezewa laki tu juu ya standard salary ambayo ni hiyo laki 5. Inawezekana ila wastani wa kuwa hii taarifa ni ya kweli haufiki asilimia20. Hata hivyo, yanga kama yanga haijawai kutoa tamko la malipo kwa wachezaji wake. So hii taarifa sio rasmi. Tuepuke kusoma habari kutoka vyanzo visivyotambulika na kuzisambaza bila kuthibitisha kutoka chanzo cha kuaminika
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye commentsView attachment 2964704View attachment 2964703
Ndio kiasi alichokubaliana nao wakati wa kusaini mkataba,wewe ni nani wake unakuja kulalamikia huku jf?
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Hiyo pesa inamtosha sana sababu muhusika ameridhika na anapiga kazi kweli kweli!!!
Kwani wewe ni msemaji wake???
Watu kama nyinyi huwa mnachochea migomo kazini!!!
 
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
"Attention seeker" vipi mmeo amekuruhusu kupost? We si ulishaaga humu JF? 😀😃😄😁😆😅🤣😂
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Dogo wa Zanzibar mlimpigia kelele Mkajua anazingua
 
Mishahara Ya Wachezaji Wa Yanga 2024

# Player Nationality Salary
39 Djigui Diarra Mali 4 Mil
1 Metacha Mnata Tanzania 2 Mil
16 Abuutwalib Mshary Tanzania 500k
2 Ibrahim Hamad Tanzania 3.5 Mil
3 Bakari Mwamnyeto Tanzania 3 Mil
5 Dickson Job Tanzania 2.5 Mil
37 Fred Gift Uganda –
13 Lomalisa Mutambala DR Congo 2 Mil
30 Nickson Kibabage Tanzania 990k
21 Kouassi Attohoula Cote d’Ivoire 3 Mil
33 Kibwana Shomari Tanzania 1 Mil
8 Khalid Aucho Uganda 6 Mil
18 Salum Abubakar Salum Tanzania 3 Mil
27 Mudathir Yahya Tanzania 2.3 Mil
26 Pacôme Zouzoua Cote d’Ivoire 3.1 Mil
19 Jonas Mkude Tanzania 5 Mil
20 Zawadi Mauya Tanzania 2.2 Mil
10 Stephane Aziz Ki Burkina Faso 23.4 Mil
7 Maxi Nzengeli DR Congo 2 Mil
40 Denis Nkane Tanzania 900k
17 Faridi Mussa Tanzania 750k
6 Mahlatsi Makudubela South Africa €5k
15 Augustine Okrah Ghana 8.2 Mil
28 Joseph Guédé Gnadou Cote d’Ivoire 29.8 Mil
11 Crispin Mhagama Tanzania 550k
24 Clement Mzize Tanzania 600k
25 Kennedy Musonda Zambia 6 Mil
22 Shekhan Ibrahim Khamis Tanzania 420k
Mbona mishahara midogo mno?
Mzawa mwenye mshahara wenye nafuu ni Mkude tu🙄🙄
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Acha uongo hakuna mshahara wa laki 6 yanga
 
Nimeangalia chati ya mishahara ya wachezaji wa Yanga nmeona Mzize analipwa laki 6 halafu Guede analipwa milioni 29 na laki 8, Aisee nmelia ndugu zangu

KAMA NDIVYO ILIVYO basi hii ni dharau kubwa sana kwa wachezaji wetu wazawa, vilabu vyetu viangalie upya maslahi ya wachezaji wazawa hii sio sawa.

Hiyo ndo mishahara yao wanaolipwa ukitoa posho na zile bonasi.

Mkeka huo nmekuekea hapo chini kwenye comments
Una Imani hizi propaganda zitasaidia April 20?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom