jane_000
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 547
- 43
- Thread starter
- #61
In these strategies a well known place kama jf itakusaidia upate elimuUnanifahamu hadi useme nimesoma kijijini? Kwani kusoma kijijini ndio kutamfanya mtu asiwe msomi??? Kuna wanganpi ambao wamesoma kijijini na sasa ni wasomi na wana nyadhifa kubwa hapa nchini? Mfano mdogo tu ni waziri mkuu ambaye ni mtoto wa mkulima.