BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,058
Jane,
Kujua English Sio sifa. Halafu hapa umemuabisha tu mwenzio. Kwani alikwambia
Amekuja hapa kujifunza English.? Kwanini
Hukumtumia PM umwambie hayo maneno? .
Si vema kumuanika mtu kiasi hiki .. hapo mwisho inasema asijali unata kumsaidia ajue kizungu .. Baada ya kumuanika Hivi Lohhh...
Uskute ndo umemkatisha tamaa ..
Na kingine hajakuomba uwe mwalimu wake kimbele mbele cha nini?
afazali mama umekuja...
huyo bint mwenzenu kulikoni??mbona hana speed governor aise...