Impact ya maandamano ya Chadema

Ujumbe uliokusudiwa kufikishwa kwa wananchi umefika kote kote, hata kwa serikali na chama tawala umetikisa. MABADILIKO YAJA!
 
Bwana mkubwa Jk ameongeza ziara za nje kwa sab bado kuna soko lake
Ziara za ndani anamtuma Pinda asafishe njia,soko la kuuza sura ndani ya nchi inakaribia kwisha kabisa
Juzi makamu wake alipofanya ziara Mbeya ilibidi huo ujio utangazwe sana ili kuvuta wananchi
 
Vyama vya msimu vitakufa na sasa kimebaki CHADEMa hivyo kuna haja kubwa sana kuombea CHADEMA na pia kuona jinsi gani tunashiriki katika ukombozi wa Taifa hili na kuona CCM wanachoka na kubaki na watu wao na siasa zile zile za miaka ya 1970's Hongera CHADEMA
Kikwete anafikiri watu wamesahau aliposema vyama vya upinzani ni vya msimu hakujua kitu kama hiki kitatokea sasa vyama vinafanya siasa amegeuka anasema uchaguzi umekwisha wasubiri ujao ili aje aseme yale yale. Ajue watu hawatanii wanafanya kweli.
 
CCM wajibu hoja za CHADEMA ambazo ndo ukweli kuliko kutishia kwani chadema ni watanzania hivyo wasifikiri chadema ni viongozi tu.

Majibu yapo basi, watoe wapi!
Waliahidi meli, viwanja vya ndege, barabara, maziwa na hakufanikiwa kupata kura hadi wakachakachua. Sasa watajibu nini kama sio kulalama!
 
Kuna baadhi ya wanasiasa na wanaJF walibeza maandamano ya Chadema kuwa hayatakuwa na impact yeyote, wengine wakadiliki kusema Chadema hawatapata watu Mwanza, lakini kadili siku zilivyoendelea yakatikisa anga lote la Tanzania hadi rais pressure ikampanda akaanza kulalamika kuwa kuna mpango wa kupindua nchi. Impact hiyo iliendelea kuwatoa watu ambao hatukutegemea kama kina Sophia Simba, Wasirra, Tendwa. Wengine tuliowasikia ni Fredrick Sumaye, Mzindakaya, Sitta, Lowassa nk. Hadi leo hii hata baada ya maandamano kwisha bado mtikisiko unaendelea kutikisa. Jana Pinda alipokewa na mabango yaliyoongelea maandamano ya Chadema. Hamuoni kuwa lengo la maandamano ya Chadema kisiasa limefikiwa. Nawauliza waliokuwa wanabeza wako wapi mbona hawaonekani tena au na wao wamekumbwa na impact ya maandamano, wanaona aibu.
Tusubiri ZeMarcopolo, GeniousBrain (???) na wenzake watakuja na sura ipi
 
Tusubiri ZeMarcopolo, GeniousBrain (???) na wenzake watakuja na sura ipi
Hawana nyimbo zozote zenye beti mpya bali wamefulia tu hao! Wezi wakubwa na wachakachuaji wa karne. Wanalazimisha kukaa katika utawala ili waendelee kutuibia!
 
Kuna baadhi ya wanasiasa na wanaJF walibeza maandamano ya Chadema kuwa hayatakuwa na impact yeyote, wengine wakadiliki kusema Chadema hawatapata watu Mwanza, lakini kadili siku zilivyoendelea yakatikisa anga lote la Tanzania hadi rais pressure ikampanda akaanza kulalamika kuwa kuna mpango wa kupindua nchi. Impact hiyo iliendelea kuwatoa watu ambao hatukutegemea kama kina Sophia Simba, Wasirra, Tendwa. Wengine tuliowasikia ni Fredrick Sumaye, Mzindakaya, Sitta, Lowassa nk. Hadi leo hii hata baada ya maandamano kwisha bado mtikisiko unaendelea kutikisa. Jana Pinda alipokewa na mabango yaliyoongelea maandamano ya Chadema. Hamuoni kuwa lengo la maandamano ya Chadema kisiasa limefikiwa. Nawauliza waliokuwa wanabeza wako wapi mbona hawaonekani tena au na wao wamekumbwa na impact ya maandamano, wanaona aibu.

Jambo Quinine!
Speaking of the impact, yes there is an impact which has resulted from the CDM demos in the Lake Zone. But one would like to ask, is it the envisaged impact for CDM? in my opinion, the CCM has benefited a lot from this demos too. in fact, before the Demos, there was a lot of tension from both from CDM and CCM sides since none was sure of the aftermath of the Demos. in the end all went on peacefully and people went home and the following day was just another peaceful day!!
The positive impact as far as CDM is concerned is popularity, had it been that, we were to go far voting, CDM would have won a great deal, however as we stand there is no voting till 2015, a lot may change. The demos for CCM have, have played a role of a safety valve!! the negtive emotions have been ejected from the demonstrators, they have said all what they could not say under normal circumstances. so as i have said above, the was a positive impact for both CDM and CCM.
 
Back
Top Bottom