Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
mnazungumziaji kauli ya serikali kupitia kwa mkuu wa mkoa wa geita kuwa waliofunga ndoa na wahamiaji haramu wavunje hizo ndoa.
kwa uzoefu wangu nimeona wa Tanzania wengi ulaya na america wanafunga ndoa na kupata vibali vya kukaa. je kwa familia zenye watoto vip? je sheria zinasemaje?
ningependa mtoe maoni yenu bila matusi. tujadili kauli ya serikali kama ni sawa au siyo sawa.
kwa uzoefu wangu nimeona wa Tanzania wengi ulaya na america wanafunga ndoa na kupata vibali vya kukaa. je kwa familia zenye watoto vip? je sheria zinasemaje?
ningependa mtoe maoni yenu bila matusi. tujadili kauli ya serikali kama ni sawa au siyo sawa.