- Thread starter
- #21
Acha basi kutumia kichwa kufugia nywele utumie akili katika kuandika ,sasa kama unasema wanachuo wasifanye siasa vyuoni course kama ya POLITICAL SCIENCE ingekuwa imewekwa na kusomwa?unajidanganya na kudanganya na kupotosha UMMA.Jamani vijana someni acheni siasa za vyuoni hazina maslahi kwa taiga. Piga kitabu CCM ha Hata CDM wanawatumia tu kisiasa
- :nono: