Toka hapo awali nilikuwa nina ndoto na hamasa ya kufikia mafanikio kwa kutatua matatizo ya Jamii inayonizunguka. Nilianza kupenda habari za anga za juu na Sayari KWA ujumla , nilijisomea kila kitu kuhusu anga kilichokuja mbele yangu .
Katika harakati za kutafuta mwekezaji nikaangukia KWA huyu dada/mama SINGO MAMA, ambayo aliamua kutumia vulnerabilities zangu kunihadaa na kunipamba panna hatimaye nikaingia kingi.
Inaanza baadae ya kuacha KAZI kampuni x nikahamia mkoa Y kuangalia fursa zingine za kijasiriamali. MNilikuwa na plans nyingi za kuanzisha startup company Zenye/yenye tija na faida kwangu na Jamii KWA ujumla, Mara nyingi nilipenda kushare Mawazo yangu na watu/Jamii lengo ni kutafuta mbia, mwekezaji .
Upendo wangu KWA watoto ukaniponza , picha linaanza Nilipofikia kuna movie library so Mara nyingi jioni huwa ninafika kubadilishana movies na kijana wa hapo, basi huwa anafika bidada mmoja na mwanae umei wa miaka miwili hivi, udadisi wa huyu mtoto ambaye sasa hivi ni mwanangu KWA lazima ulinivutia na kuanza kuzungumza naye.
Baadae ya kupita dakika kumi hivi mama yake alimaliza kuhudumiwa wakiwa wanaondoka nilimwita dada samahani Naomba tuzungumze nilimsifia mwanae kisha nikamwambia kama hajaanza shule mpeleke udadisi alio nao autumie kwenye mambo ya msingi.
Akacheka pale Mtoto akanambia kwaheri ankoli. Ikawa ni ankoli ankoli, mara nimnunulie vitabu vya namba na Wanyama huku nikisisistiza mama yake amkazanie kujifunza.
Siku zikasonga hatimaye nikaalikwa KWA bimkubwa huyu , kweli nilifika na niliulizwa unajishughulisha na nini nikatoa maelezo pia nikazungumza ndoto yangu Kubwa niliyo nayo. Na kushare feasible ideas zangu ,plans na models za kibiashara Nilizozifanyia utafiti wa kina, alifurahi na kuniambia You are a genius ,hakuna kijana wa umri wako anayewaza mambo kama hayo ,pale aliniuliza kuhusu Maisha yangu ya utotoni na mambo kibao ..mwisho akatoa jibu nitakusaidia .
Nitakutimizia lengo lako na wewe inabidi utimize la kwangu kwa furaha niliyokuwa nayo sikutaka kuuliza lengo lake ni nini. Nikamwambia niandae legal structures basi na yeye Tufungue kampuni na stuffs kama hizo akagoma akasema haina shida Huku akinishika shavuni.
Siku zinasonga nkatengenezewa kipindi nikajikuta tunafanya ngono Mara ya kwanza ya pili ya tatu hii hapa , akadai ameshika mimba , mshahara wa dhambi mauti , huruma yangu inaniponza nikamwambia usitoe si unajua risks zake , vipindi vikaanza kutengeneza mara oh silali kuna watu wananiloga usiku, KWA sababu ya ujauzito wako huu , mara alete vitimbi kazini kwao marafiki zake wanipigie simu waseme mimi nikiwepo anapata ahueni, Ilibidi niwe nashinda nae mara KWA mara , nkiacha KAZI zangu Ili kumliwaza . Kumbe ni Kipindi kilitengenezwa huruma zangu zikaniponza.
Kufanya ndefu fupi kupitia ujauzito huo nililipishwa kishika uchumba na fines KWA lazima .
Last year mungu kanibariki Mtoto wa kiume ambaye siku hiyo nilimwaga machozi ambayo walijua ni furaha pekee kumbe ni huzuni mixer furaha kidogo ,majuto na mengine mengi .
Im chained ila soon nakwenda kuwa huru.
Hivi sasa mimi ni Balozi wa kuzuia vijana wasioe wala kuwa na mahusiano na masingo mamas wengi wapo tayari kutumia mbinu yeyote ile wakunase uwe baba wa mwanae KWA kupenda au KWA kutokupenda.
Muwe na siku njema.
Katika harakati za kutafuta mwekezaji nikaangukia KWA huyu dada/mama SINGO MAMA, ambayo aliamua kutumia vulnerabilities zangu kunihadaa na kunipamba panna hatimaye nikaingia kingi.
Inaanza baadae ya kuacha KAZI kampuni x nikahamia mkoa Y kuangalia fursa zingine za kijasiriamali. MNilikuwa na plans nyingi za kuanzisha startup company Zenye/yenye tija na faida kwangu na Jamii KWA ujumla, Mara nyingi nilipenda kushare Mawazo yangu na watu/Jamii lengo ni kutafuta mbia, mwekezaji .
Upendo wangu KWA watoto ukaniponza , picha linaanza Nilipofikia kuna movie library so Mara nyingi jioni huwa ninafika kubadilishana movies na kijana wa hapo, basi huwa anafika bidada mmoja na mwanae umei wa miaka miwili hivi, udadisi wa huyu mtoto ambaye sasa hivi ni mwanangu KWA lazima ulinivutia na kuanza kuzungumza naye.
Baadae ya kupita dakika kumi hivi mama yake alimaliza kuhudumiwa wakiwa wanaondoka nilimwita dada samahani Naomba tuzungumze nilimsifia mwanae kisha nikamwambia kama hajaanza shule mpeleke udadisi alio nao autumie kwenye mambo ya msingi.
Akacheka pale Mtoto akanambia kwaheri ankoli. Ikawa ni ankoli ankoli, mara nimnunulie vitabu vya namba na Wanyama huku nikisisistiza mama yake amkazanie kujifunza.
Siku zikasonga hatimaye nikaalikwa KWA bimkubwa huyu , kweli nilifika na niliulizwa unajishughulisha na nini nikatoa maelezo pia nikazungumza ndoto yangu Kubwa niliyo nayo. Na kushare feasible ideas zangu ,plans na models za kibiashara Nilizozifanyia utafiti wa kina, alifurahi na kuniambia You are a genius ,hakuna kijana wa umri wako anayewaza mambo kama hayo ,pale aliniuliza kuhusu Maisha yangu ya utotoni na mambo kibao ..mwisho akatoa jibu nitakusaidia .
Nitakutimizia lengo lako na wewe inabidi utimize la kwangu kwa furaha niliyokuwa nayo sikutaka kuuliza lengo lake ni nini. Nikamwambia niandae legal structures basi na yeye Tufungue kampuni na stuffs kama hizo akagoma akasema haina shida Huku akinishika shavuni.
Siku zinasonga nkatengenezewa kipindi nikajikuta tunafanya ngono Mara ya kwanza ya pili ya tatu hii hapa , akadai ameshika mimba , mshahara wa dhambi mauti , huruma yangu inaniponza nikamwambia usitoe si unajua risks zake , vipindi vikaanza kutengeneza mara oh silali kuna watu wananiloga usiku, KWA sababu ya ujauzito wako huu , mara alete vitimbi kazini kwao marafiki zake wanipigie simu waseme mimi nikiwepo anapata ahueni, Ilibidi niwe nashinda nae mara KWA mara , nkiacha KAZI zangu Ili kumliwaza . Kumbe ni Kipindi kilitengenezwa huruma zangu zikaniponza.
Kufanya ndefu fupi kupitia ujauzito huo nililipishwa kishika uchumba na fines KWA lazima .
Last year mungu kanibariki Mtoto wa kiume ambaye siku hiyo nilimwaga machozi ambayo walijua ni furaha pekee kumbe ni huzuni mixer furaha kidogo ,majuto na mengine mengi .
Im chained ila soon nakwenda kuwa huru.
Hivi sasa mimi ni Balozi wa kuzuia vijana wasioe wala kuwa na mahusiano na masingo mamas wengi wapo tayari kutumia mbinu yeyote ile wakunase uwe baba wa mwanae KWA kupenda au KWA kutokupenda.
Muwe na siku njema.