Umeshalipa kiingilio?Wakubwa kwa wadogo Leo nimeona RASMI inanibidi kujiunga na jf kwa ajili ya kuzidi kujifunza mengi zaidi na kuburudika . Naomba ushirikiano kutoka kwenu. Shukrani za pekee ziende kwa jirani yangu hapa home aliyeniwezesha kujiunga humu.
hiyo avatar ni kitu gani?Wakubwa kwa wadogo Leo nimeona RASMI inanibidi kujiunga na jf kwa ajili ya kuzidi kujifunza mengi zaidi na kuburudika . Naomba ushirikiano kutoka kwenu. Shukrani za pekee ziende kwa jirani yangu hapa home aliyeniwezesha kujiunga humu.
usimtapeliUmeshalipa kiingilio?
Lazima ale viwiko kwanzausimtapeli
Hao team kataa ndoa😀Kabla ya yote muone mzabzab na Mzee wa kupambania ofisini kwake
Picha yako,ili tuscan Kisha tuweke kwenye file la jf members. Weka hapa Sasa hivi. Au jamaa aliyekuunga hajakwambia.Picha ya Nini tena chifu
Shukrani. Hiyo ni picha ya maandishi ya kimisri ya hieroglyphs
buku ya bando mzee ili niwe mshikaji wako😀Mbona nimeambiwa huku viingilio hakuna?