Illuminatha Dominick asiposhinda Miss Tanzania Hashim L utatumbuliwa tu

Kichwani vipi yuko vizuri,maana hicho nacho ni kigezo kimoja wapo,asije akawa ni wale 'ze,ze people of zis country'.
 
Mbona wa kawaida saana.. Mleta mada kipi unique unadhan anacho kinamfanya atwae taji kilazma km utakavyo wewe
 
Hata mimi nikieditiwa nitaonekana mrembo lakini kumbe nna sura kama gaucho!
i.e huyo bado saaana licha ya kuwa kaeditiwa
 
Back
Top Bottom