Kama atashinda huyu ndo atakuwa miss wa kwanza mbaya...Wakuu, habari zenu,
Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu,
Huyu miss lake zone
Ni lazima awe miss Tanzania
La sivyo mtu atatumbuliwa
Ovaaaaa
View attachment 424745
View attachment 424747
View attachment 424749
Sio Bure Utakuwa Umetumwa na Mbunge MSUKUMAWakuu, habari zenu,
Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu,
Huyu miss lake zone
Ni lazima awe miss Tanzania
La sivyo mtu atatumbuliwa
Ovaaaaa
View attachment 424745
View attachment 424747
View attachment 424749
Toka alipoyavulunda Bint wa Mbunge basi tena..mashindano haya yashapoteza mvuto..tangu sakata la sitti mtevu.!
Kumbe toka 2012 anashiriki tu? Daah inaruhusiwa kushiriki kila mwaka?Alishiriki Mashindano na kufanikiwa kushinda Red Miss Kagera 2013 akaja kuangushwa vibaya baadae. Ngoja nikuwekee picha zake.
Imekosa nguvu kabsa ndio sabb imeondolewa dar kwenda mkoanimshaanza promo hivi Miss Tz kumbe ipogo
Asante mkuumiss chagga nshakuwekea picha za THE COMING MISS TANZANIA
Vp anafaaa?Asante mkuu
Me napenda demu mwembamba miguu mapaja yake yananafasiVp anafaaa?
Dah! kweli JF haitakagi ujinga, miss amerisiti bila kujua kuna mahali kumbukumbu hazifutiki, maskini weeee akiiona hii tu tayari amepunguza kujiamini na anaweza anguka vibaya sana, .Alishiriki Mashindano na kufanikiwa kushinda Red Miss Kagera 2013 akaja kuangushwa vibaya baadae. Ngoja nikuwekee picha zake.
It matter nothingBora mkuu mimi nilichanganya nikajua ni 2012, huyu amehangaika sana aiseee...tangu 2013 -mpaka leo anajifanya miss....