Mathias
Senior Member
- Apr 22, 2009
- 118
- 12
Aya ni mateso makubwa kwa dada na watoto zetu, ukikuta pahala wanakeketa tafadhali wachukulie hatua manake ni wauaji. Baada ya kuona hizi picha ni hasira tu ndo zimenishika, nilikuwa nasikia juu juu ili jambo, lakini baada ya kuona sitamani hata kuwasikia hao wanao keketa.