mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
Habari zenu wanajamii,
Jana nilikutana na marafiki zangu wakati wa jioni kwa kupiga domo na kujikumbusha ya kale na vituko vya nyumbani.
Katika mazungumzo yetu likaja suali la yule jamaa alokuwa muanzilishi wa blog ya ze utamu.huyu baada ya
kutukana na kuaibisha watu kadhaa ikiwa pamoja na rais wa Tanzania, alisakwa na kukamatwa na akapelekwa nyumbani
kushitakiwa,
Suali ni jee kuna anaejua kilichomfika huyu jamaa? je alifungwa, alisamehewa au alipotea kimaajabu ajabu kwa vile wazee wake ni vigogo?
Jana nilikutana na marafiki zangu wakati wa jioni kwa kupiga domo na kujikumbusha ya kale na vituko vya nyumbani.
Katika mazungumzo yetu likaja suali la yule jamaa alokuwa muanzilishi wa blog ya ze utamu.huyu baada ya
kutukana na kuaibisha watu kadhaa ikiwa pamoja na rais wa Tanzania, alisakwa na kukamatwa na akapelekwa nyumbani
kushitakiwa,
Suali ni jee kuna anaejua kilichomfika huyu jamaa? je alifungwa, alisamehewa au alipotea kimaajabu ajabu kwa vile wazee wake ni vigogo?