Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,503
- 84,086
Yeah binafsi huwa naona inategemea na kampuni inayokupeleka, route unayotaka na huduma unazotaka, tena hizo bei ni kwa wazawa wageni huwa wanapigwa parefuJadda unaona mambo haya?
Hiyo nimeona ni route ya Lemosho tu sijajua routes nyingine wanacharge Kiasi gani, maana kuna nyingine ni ndefu na nyingine ni ngumu mfano Umbwe, ila rahisi na pendwa kuliko zote ni Marangu nafikiri
Mimi ni mbahili ila honestly hizo gharama naona ziko fair kulingana na huduma zinazotolewa, kuna vivutio ukienda gharama ni za ajabu utashangaa na roho yako, halafu ukicheki huduma zinazotolewa hata haziendani unaweza ukalaani