Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Ndugu wachambuzi wa mambo ya SIASA na KIJAMII,
Hivi ile ziara ya Rais George W. Bush hapa TZ iliyo jaa mbwembwe na matarajio makubwa makubwa imeshazaa chochote cha kuelezeka?
Wachambuzi leteni habari.
Au ziara hiyo ilikuwa na Agenda ambayo haikutwa?
Hivi ile ziara ya Rais George W. Bush hapa TZ iliyo jaa mbwembwe na matarajio makubwa makubwa imeshazaa chochote cha kuelezeka?
Wachambuzi leteni habari.
Au ziara hiyo ilikuwa na Agenda ambayo haikutwa?